Penison
JF-Expert Member
- Nov 4, 2017
- 6,372
- 12,529
Relax mkuu jipange kwa Spurs sasa.Ni suala la muda tu akina Sanllehi na Edu watafanya yao kwa Unai
Midfield inakuwa outplayed halafu mtu anakuambia hajaona tatizo la hao wachezaji waliopangwa kwenye midfield siku hiyo
Mane kacheza mpaka final ya Afcon na anaanza fresh tu ila huku kwetu Torreira hana match fitness hana sijui nini
Kocha mpaka leo msimu wake wa pili huu hana first eleven team
Ni Suala la muda tu Raul Sanllehi na Edu Gaspar wakiongozwa na mtoto wa Kibopa Josh Kroenke watafanya yao kwa Emery![]()




