Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Ni suala la muda tu akina Sanllehi na Edu watafanya yao kwa Unai
Midfield inakuwa outplayed halafu mtu anakuambia hajaona tatizo la hao wachezaji waliopangwa kwenye midfield siku hiyo
Mane kacheza mpaka final ya Afcon na anaanza fresh tu ila huku kwetu Torreira hana match fitness hana sijui nini
Kocha mpaka leo msimu wake wa pili huu hana first eleven team
Ni Suala la muda tu Raul Sanllehi na Edu Gaspar wakiongozwa na mtoto wa Kibopa Josh Kroenke watafanya yao kwa Emery
Relax mkuu jipange kwa Spurs sasa.
 
Arsenal ina wachezaji wenye talents sana kwa mchezaj mmoja mmoja kikosi cha sasa. Ila inashindwa kuunganishwa kuwa Compact material.Hii inatokana na Kufeli kwa kocha kimbinu, kuchagua line Up na dressing room.

Kwa usajili tuliofanya hatustahili kucheza vile tena kwa Liver ambayo imecheza Relaxed sana .

Kocha ndio anafeli sasa hivi. Tulistahili hata Sare Game ilikuwa nyeupe ile tumecheza sana half zone dkk zaid ya 60.

Poor tactcal poor Coach hata mechi 2 za mwanzo tumeshinda ila hatukuwa na display nzuri.

Kwa Emery Tutachelewa sana kufikia kile tunachokitaka kwa Unai Emery unless
unless Massimilian Aallegri aje kutusaidia tusipofikia yale tunayoyataka msimu ujao.
 
Tatizo kocha hatuna ,bora hata lampard wa Chelsea , sema hana wachezaji ana makinda tu

Emery hawez kutufikisha popote ,

I miss Wenger ball

Wenger toka 2006 had anastaafu hakuwahi kupata complete team ,

Na 100% kwa wachezaji hawa wasasa ,Wenger angepigania ubingwa ,

Ila huyu Unai hata top 4 mtihan ,hata FA cup hawez kuleta


IMG-20190825-WA0009.jpeg
 
Kiburi cha Unai kimetuponza,

Pepe ni talented player ,

Laca ana hold mipira , unamuweka bench,

Hivi unai hajui kuwa kumuweka laca kungefanya pepe na auba wapate space za kupenyeza mipira zaid ?

Kwenye midfield Unamuweka LT 11 nje kila siku,

Unamuanzisha Mateo & Willock Anfield kweli ? Wakati

Una uwezo wakuweka kiungo solid cha

Xhaka lt11 ceballos

UNAI hawez kutufikisha nchi ya ahadi .

Baada ya kuona lineup tu, sikuweza kuwa na matumain yoyote ,

Na Jana nimethibitisha Unai sio kocha ni msimamiz wa mazoez,
 
Unai kasahau kuwa sisi ni wabeba mabango wazuri tu.


Na uzuri Kreonke mdogo (Josh) kwenye mechi ya jana alikuwepo
 
Poleni majira. Nimesikia kuna msiba mzito hapa. Rambi rambi natoa wapi
 
Kiburi cha Unai kimetuponza,

Pepe ni talented player ,

Laca ana hold mipira , unamuweka bench,

Hivi unai hajui kuwa kumuweka laca kungefanya pepe na auba wapate space za kupenyeza mipira zaid ?

Kwenye midfield Unamuweka LT 11 nje kila siku,

Unamuanzisha Mateo & Willock Anfield kweli ? Wakati

Una uwezo wakuweka kiungo solid cha

Xhaka lt11 ceballos

UNAI hawez kutufikisha nchi ya ahadi .

Baada ya kuona lineup tu, sikuweza kuwa na matumain yoyote ,

Na Jana nimethibitisha Unai sio kocha ni msimamiz wa mazoez,

Kumbe Xhaka na Ceballos hawakucheza ?
 
Ila inshort niseme tu *Poor team selection* , *kiburi cha unai* , *Ujinga wa unai* *Mahaba Niue ya unai* ndo yameamua game ya Jana .


Liverpool asingeshinda mechi kama wangeanza wote akina Lucas, xhaka,pepe,auba,lacazete,mikh/ozil


Hapo alikuwa hapotezi mechi maana kama pepe Jana aliweza kumpeleka VVD vile unadhan angekuwepo lacazete akatoa back up kingetokea nn ??


*unai ni msimamiz wa mazoezi tu ...ile team.hata mkwasa kwa sasa anaweza akachukua na akafanya vzuri*
 
Huwez kunambia Liverpool ni wazur sana,

vile kama striker wawili tu Auba & Pepe walikuwa wanafurukuta kimtindo je angekuwepo bulldozer wetu lacanyavu jini?

Ingekuwaje?


Xhaka kapambana vya kutosha kati ila anajikuta anacheza peke ake Jana team haina balance .... Wanaomtetea Matteo njoon mwatwambie na nyie .


Halafu mtuambie Matteo anamzid nini toreira wetu sisi tusiojua mpira?

MWISHO TUNARUDI PALE PALE UNAI TIMU IMEMZIDI UZITO,
 
Klopp alitegemea ceballos ndio atakayewavuruga pale kati,

Ila alivyokuta wanacheza Diamond , 4-3-1-2 akacheka sana

Unamuwekea Mateo & willock kwenye midfield Anfield?

I mic Arsene Wenger
 
Unai Anawachezaji wazur ambao kila team inatamani kuwa nao


Xhaka, lucas, mesut, daniel, auba, laca, pepe,david, leno, martinel n.k alaf unaleta ujinga

Amini nawaambia babu Wenger angekuwa na hawa watu saiz watu wangekuwa wanamuogopa pale epl nzima.

Ila sasa Tuna Unai hana first eleven ,kila mech anakuja na mfumo mpya
 
Mkuu Aaron,

Liverpool ni superior team kwa sasa na Arsenal wamefungwa kwa makosa ambayo waliyatengeneza wenyewe.

Mtindo wa Diamond uliacha nafasi kubwa upande wao wa kulia na kushoto hivyo Sadio Mane na Salah hawakuwa na kazi ngumu ya kupenya back 4.

Na sio tu hao wawili hata Alexandra Anold na Robertson nao walikuwa wakipanda wanavyotaka.

Arsenal wangecheza mtindo wao wa kawaida wa 4-3-3 ambao angalau ungewezesha kupunguza mashambulizi ya mabeki hao wawili wa Liverpool na ingepelekea hata kutoa sare.

Lakini mtindo wa Diamond wa 4-4-2 dhidi ya timu kama Liverpool?

Halafu pia huu ni wakati wa kumpumzisha Nacho Monreal ambae kwa umri wa miaka 33 amechoka.

Sifahamu ni sababu gani za kumweka bench Kolasinac na Lacazette na hawa ndo wangekamilisha ile back 4 na kule mbele kati.

Ila tuwe positive na tukumbuke Arsenal hadi mapumziko walikuwa nyuma kwa goli 1 na siyo 3 kama msimu ulopita.

Liverpool walikuwa ni Superior team na Tottenham hawatakuwa superior team kwetu.

Tusubiri Arsenal Vs Tottenham
 
Mkuu Aaron,

Liverpool ni superior team kwa sasa na Arsenal wamefungwa kwa makosa ambayo waliyatengeneza wenyewe.

Mtindo wa Diamond uliacha nafasi kubwa upande wao wa kulia na kushoto hivyo Sadio Mane na Salah hawakuwa na kazi ngumu ya kupenya back 4.

Halafu pia huu ni wakati wa kumpumzisha Nacho Monreal ambae kwa umri wa miaka 33 amechoka.

Sifahamu ni sababu gani za kumweka bench Kolasinac na Lacazette na hawa ndo wangekamilisha ile back 4 na kule mbele kati.

Ila tuwe positive na tukumbuke Arsenal hadi mapumziko walikuwa nyuma kwa goli 1 na siyo 3 kama msimu ulopita.

Liverpool walikuwa ni Superior team na Tottenham hawatakuwa superior team kwetu.

Tusubiri Arsenal Vs Tottenham

Mkuu nakubali Liverpool ni superior team kwa sasa hivyo kufungwa pale Anfield sio inshu kubwa sana. Inshu ni tactics za kocha. Selection yake ya wachezaji imetuacha na maswali makubwa sana.

Kama tunategemea akina Willock washindane na Fabinho/Henderson kwenye kiungo wakati una LT nje una Mpambanaji Lacca anaingia dakika 10 za mwisho basi kuna tatizo.
 
Huwez kunambia Liverpool ni wazur sana,

vile kama striker wawili tu Auba & Pepe walikuwa wanafurukuta kimtindo je angekuwepo bulldozer wetu lacanyavu jini?

Ingekuwaje?


Xhaka kapambana vya kutosha kati ila anajikuta anacheza peke ake Jana team haina balance .... Wanaomtetea Matteo njoon mwatwambie na nyie .


Halafu mtuambie Matteo anamzid nini toreira wetu sisi tusiojua mpira?

MWISHO TUNARUDI PALE PALE UNAI TIMU IMEMZIDI UZITO,
Hii ndio fact mkuu, naiheshimu Liverpool ila haikua na kiwango kizuri mechi yetu ya jana. Tactics za Unai ziliifanya timu kuwa ya kinyonge sana. Tukienda Man City na mbinu hizi tutapigwa 8.
 
Back
Top Bottom