Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mkuu nakubali Liverpool ni superior team kwa sasa hivyo kufungwa pale Anfield sio inshu kubwa sana. Inshu ni tactics za kocha. Selection yake ya wachezaji imetuacha na maswali makubwa sana.

Kama tunategemea akina Willock washindane na Fabinho/Henderson kwenye kiungo wakati una LT nje una Mpambanaji Lacca anaingia dakika 10 za mwisho basi kuna tatizo.

Nguvu kubwa ya Liverpool ni mabeki wao wawili Trent-Alexnder Arnold na Andy Robertson.

Ni kweli kama Arsenal wangechezesha kikosi chake kamili kule mbele Pepe, Laca na Aubameyang. kati Xhaka na Torreira na AM Ceballos.

Nyuma kushoto Kolasinac, kulia Maitland-Niles kati Sokratis na Luiz.

Baade unaingiza DMs Guendouzi, Mikhy na Ozil maana ni big game.

Unaachana na akina Willock na wengine unawaambia hii ni big game ni kushinda au sare.
 
Mkuu Aaron,

Liverpool ni superior team kwa sasa na Arsenal wamefungwa kwa makosa ambayo waliyatengeneza wenyewe.

Mtindo wa Diamond uliacha nafasi kubwa upande wao wa kulia na kushoto hivyo Sadio Mane na Salah hawakuwa na kazi ngumu ya kupenya back 4.

Na sio tu hao wawili hata Alexandra Anold na Robertson nao walikuwa wakipanda wanavyotaka.

Arsenal wangecheza mtindo wao wa kawaida wa 4-3-3 ambao angalau ungewezesha kupunguza mashambulizi ya mabeki hao wawili wa Liverpool na ingepelekea hata kutoa sare.

Lakini mtindo wa Diamond wa 4-4-2 dhidi ya timu kama Liverpool?

Halafu pia huu ni wakati wa kumpumzisha Nacho Monreal ambae kwa umri wa miaka 33 amechoka.

Sifahamu ni sababu gani za kumweka bench Kolasinac na Lacazette na hawa ndo wangekamilisha ile back 4 na kule mbele kati.

Ila tuwe positive na tukumbuke Arsenal hadi mapumziko walikuwa nyuma kwa goli 1 na siyo 3 kama msimu ulopita.

Liverpool walikuwa ni Superior team na Tottenham hawatakuwa superior team kwetu.

Tusubiri Arsenal Vs Tottenham
We are going to win this match, dont be afraid

London our city
 
Mm nlitaka jana wangeanza wote na laca,na auba ile liver inafungika kwan wanaanzia kukaba mstari wa juu kwa kasi ya foward ya arsenal tungepata kitu. Sema tuliwaruhusu wakacheza katikat sana tukawalaimisha kina Auba kushuka sana nao wakawa wameingia mtego wa kukabwa kwa nguvu.
Tunacheza taratib sana tokea nyuma tukilinganisha na wwachezaj wenye kasi tulionao. Tunaishia kujitahidi tu na sio kuonyesha uhalisia.
Jana tumefungwa kwa poor tactics na uoga wa kocha kujilinda wakat unajua kujilinda huko unatakiw upaki basi kwl tukirefer kwa Mou.
Mpk sasa nmeona kwa macho yangu tuna point6 za man city na point6 za Liver. Kocha hawez kuw na mbinu dhid ya hawa watu wawili yaan Klop na Pep.


Jana tumefungwa na Emery kwnn Laca nje, Toreira nje then unaweka watot kujaribu??? Unajaribiaje kwa bingwa wa Ulaya? Au alihisi ni pre season? Unajaribuje kwa wachezaj waliokaa mda mref na wanaelewana kila kitu???

Nataman niattack mchezaj m1 m1 kwa perfomance ya jana lkn acha niwaache kwanza nitupe lawama kwa kocha.

David Luiz simlau naomba nimwongelee huyu tu kwa niaba ya Mustafi, kazi anayofanya ameifanya pia Chelsea. Ni mchezaj ambay utamfaid sana mkicheza nyie. Ni true kamanda pale nyuma ila anaingia kwny mtego kama mustaf anakaba kuklia makosa ya viungo kutokana na tactics mbov za mwlm.


Mwisho:iko wapi philosophy yetu tuliyotamba nayo muda mrefu kucheza soka safi?
Wapi Wenger ball???
Unai anataka kutwambia nn??

Si dhan kama una akili kama za kocha kuna kitu kakiona kwa laca jarbu kuheshimu prof za watu
 
Tatizo la mashabiki wa asernal mna matarajio makubwa kwenye timu yenu kuliko management ya asernal hapo ndo mgongano wa masilai unapoanzia kuweni wapole ni chelsea pekee ambapo boss akiona timu anabolonga anafanya maamuzi fasta
Pole sana wana asernal ndo mpira huo
 
Tatizo la mashabiki wa asernal mna matarajio makubwa kwenye timu yenu kuliko management ya asernal hapo ndo mgongano wa masilai unapoanzia kuweni wapole ni chelsea pekee ambapo boss akiona timu anabolonga anafanya maamuzi fasta
Pole sana wana asernal ndo mpira huo
"masilai" "Asernal" ndio nini wewe, hujui kuandika au?
 
Tatizo la mashabiki wa asernal mna matarajio makubwa kwenye timu yenu kuliko management ya asernal hapo ndo mgongano wa masilai unapoanzia kuweni wapole ni chelsea pekee ambapo boss akiona timu anabolonga anafanya maamuzi fasta
Pole sana wana asernal ndo mpira huo
Huijui Arsenal ,hujui chochote kaa kimya , Kocha kaletewa wachezaji hawapangi , management inahusika vipi
 
Nguvu kubwa ya Liverpool ni mabeki wao wawili Trent-Alexnder Arnold na Andy Robertson.

Ni kweli kama Arsenal wangechezesha kikosi chake kamili kule mbele Pepe, Laca na Aubameyang. kati Xhaka na Torreira na AM Ceballos.

Nyuma kushoto Kolasinac, kulia Maitland-Niles kati Sokratis na Luiz.

Baade unaingiza DMs Guendouzi, Mikhy na Ozil maana ni big game.

Unaachana na akina Willock na wengine unawaambia hii ni big game ni kushinda au sare.
Hiki kikosi ndio kila MTU alikitarajia ,hata wachambuz wa sky wanamshangaa unai kwa poor team selection ,
 
Mkuu Aaron,

Liverpool ni superior team kwa sasa na Arsenal wamefungwa kwa makosa ambayo waliyatengeneza wenyewe.

Mtindo wa Diamond uliacha nafasi kubwa upande wao wa kulia na kushoto hivyo Sadio Mane na Salah hawakuwa na kazi ngumu ya kupenya back 4.

Na sio tu hao wawili hata Alexandra Anold na Robertson nao walikuwa wakipanda wanavyotaka.

Arsenal wangecheza mtindo wao wa kawaida wa 4-3-3 ambao angalau ungewezesha kupunguza mashambulizi ya mabeki hao wawili wa Liverpool na ingepelekea hata kutoa sare.

Lakini mtindo wa Diamond wa 4-4-2 dhidi ya timu kama Liverpool?

Halafu pia huu ni wakati wa kumpumzisha Nacho Monreal ambae kwa umri wa miaka 33 amechoka.

Sifahamu ni sababu gani za kumweka bench Kolasinac na Lacazette na hawa ndo wangekamilisha ile back 4 na kule mbele kati.

Ila tuwe positive na tukumbuke Arsenal hadi mapumziko walikuwa nyuma kwa goli 1 na siyo 3 kama msimu ulopita.

Liverpool walikuwa ni Superior team na Tottenham hawatakuwa superior team kwetu.

Tusubiri Arsenal Vs Tottenham
Yaan Jana hadi nimemkumbuka Arsene ,

Yaan unai kaletewa watu wa maana lkn hadi Leo hajui kuwapanga ,na anawapiga bench ,

80% msimu uliopita kashindwa kutupeleka nafas ya 3 ,

Unai hawez kutufikisha nchi ya ahadi,
 
Unai ameshindwa kabisa kwenye team selection, sijajua LT na Lacca wana shida gani hadi kuwekwa bench(huenda kuna technical reasons ikiwepo match fitness) ila kwa lineup ile lazima Liver wangetufunga tu.
 
Unai ameshindwa kabisa kwenye team selection, sijajua LT na Lacca wana shida gani hadi kuwekwa bench(huenda kuna technical reasons ikiwepo match fitness) ila kwa lineup ile lazima Liver wangetufunga tu.
Hakuna cha mech fitness kaka, pale hatuna kocha , Huyu unai ndio msimu uliopita toreira mech 4 kawa man of the match , akaanza kumpiga bench na kumbadilisha namba ,

Ni muoga sana mech za away,
 
Ila inshort niseme tu *Poor team selection* , *kiburi cha unai* , *Ujinga wa unai* *Mahaba Niue ya unai* ndo yameamua game ya Jana .


Liverpool asingeshinda mechi kama wangeanza wote akina Lucas, xhaka,pepe,auba,lacazete,mikh/ozil


Hapo alikuwa hapotezi mechi maana kama pepe Jana aliweza kumpeleka VVD vile unadhan angekuwepo lacazete akatoa back up kingetokea nn ??


*unai ni msimamiz wa mazoezi tu ...ile team.hata mkwasa kwa sasa anaweza akachukua na akafanya vzuri*
Anfield Arsenal hachomoki

Ngoja mje muwapange hao mnaowataka pale Emirates kama kichapo hampokei tena

Mashabiki wengi wa Arsenal huko duniani wamekiri kwamba Liverpool ana timu nzuri kuliko Arsenal parefu tu (Liverpool is a better side) nyie mnaongelea kupata draw Anfield chini ya Klopp
 
Msimu uliopita ambao Tottenham hakusajiri alijinyakulia point zake 4 kutoka kwa Arsenal wkat Arsenal alipta point moja tu kwa Tott. Sasa sijui unazungumzia Tottenham ya Vingunguti!? Na hapo Tottenham msimu huu kasajili watu wa maana huku kaArsenal kamemleta Luiz kama beki wa kati
hizo statics zako umezitolea kijijini kwenu au?! ni bora unyamaze kimya kama huna uwakika.....
 
Granit Xhaka on Tottenham next week: “It’s a derby & we know how important it is for the fans, the club & for us. We have shown in the last few years we that can have very good games against them. Let’s start getting ready this week so we’re ready to play against Spurs.” #afcdaily
 
Nilisha zungumza huko nyuma changamoto ztakazo tukwamisha tusifanye vzur pamoja na kusajli vzur n mahaba ya mwalimu kwa wachezaj flan flan, kuna wachezaj watakula bench ata kama wako kwenye kiwango cha juu, na wengine watacheza ata kama wana viwango vya kusuasua, hili tatzo lipo toka enz za wenger na giroud wake,. Emery ana mahaba niue kwa auba, guendouz, mikh, ila sio ozil, lacca na torreira, ile nafac ya willock angecheza iwob kama asingekua ameondoka ili mrad tu laca asianze,
 
Back
Top Bottom