Masanilo
Platinum Member
- Oct 2, 2007
- 22,283
- 4,553
heshima umeisahau mkuu edit maneno yako.
Tupo pamoja hii mechi nin sare!
heshima umeisahau mkuu edit maneno yako.
1.Wewe hata sijui unaangalia mechi gani?
2. Mimi sina utani na wewe kwa hio ningeomba uniheshimu tu kama ninavokuheshimu mimi.
3. If you wanna bring it onI'm sorry to say you got the wrong guy and I mean it!!
Hahaha mtumishi naona unawapa vidonge! Endelea kunipa up date nipo pori!
Tafauti kwenye hii mechi ni kwamba tumepata nafasi zaidi ya 3 tumeshindwa kuzitumia wakati wao wamepata nafasi 2 (zote Drogba) na amefanikiwa kufunga 1, ila kabla ya hilo goli Song alichezewa rafu ila Mike Dean kama kawaida yake hakuona kitu.We will bounce back in the second half Diaby inabidi atoke aingie Denilson maana amecheza hovyo sana first half still he needs to work onhis decision making when he fets the ball. Hata hivyo mtanange bado mgumu, Chamakh is so lazy upfront twamsubiri Bongo next weekwend tutamkabidhi Canavaro...
1.Wewe hata sijui unaangalia mechi gani?
2. Mimi sina utani na wewe kwa hio ningeomba uniheshimu tu kama ninavokuheshimu mimi.
3. If you wanna bring it onI'm sorry to say you got the wrong guy and I mean it!!
Achana nae AW no wonder he calls himself REV to cover his obvious bogasness and stupidity
Achana nae AW no wonder he calls himself REV to cover his obvious bogasness and stupidity
Sorry buddy I did not ask for your ass!
Common sense is always never common to everyone anyways let's sit back and enjoy the second half...
Hakuna mchezaji wa kuchezea MAN U hapoHuyu dogo tumuuze tena kwa mkopo aende Man u!
Hakuna mchezaji wa kuchezea MAN U hapo
Kamaanisha ladies, haya ndiyo mambo ya mpira inatakiwa usiwe na hasira.What do you mean by ladies?....You meant boys?
Hakuna mchezaji wa kuchezea MAN U hapo