Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Nasikia Unai kapewa pound mil 40 tu namshauri amnyake Samatta chap maana ana thamani ya pound mil 12. Akizubaa apo ndo basi tena.

Sasa nyie arsenal munatofauti gani na Sisi ambao hatusajili kabisa
Hahahahahahahahah mkuu haya ni matusi makubwa hahahahahahahahah
 
we mkifungwa ndio unakuja na visababu vyako uchwara, ila kabla ya game wewe ni hodari wa kubinua mdomo kwamba mtashinda, mpira hauchezwi mdomoni, timu yenu ni mbovu mbovu sijapata kuona yani imeoza
Mkuu nimecheka sana eti Timu imeoza hahahahahahahahah
 
BOOM! As per the reliable @SampNews24, Arsenal have submitted an improved €50m combined bid for Sampdoria duo:

1.Denis Praet - 25 year old midfielder
2.Joachim Andersen - 23 year old ball playing centre back

This offer has met expectations of their president Massimo Ferrero. https://t.co/ORbxlRZfHc
Vipi mkuu unawafahamu wachezaji hasa uwezo wao uwanjani!... Naombea dili ifanikiwe maana beki ya mwaka huu imetuumiza ile mbaya
 
Huyu Sanllehi nadhani angemuuza tu Aubameyang huko China, hizo paund mil 80 zingewaleta Ziyech na zaha Afu na impact itakua kubwa sana kuliko tukibaki na Aubameyang.Zaha na Ziyech ni wasumbufu sana, nawapenda wale ni wapambanaji, ni kiboko ya mabishoo wote mjini.
Ni wazo zuri kumuuza wala kulikubali, mie naacha uamuzi wa mchezaji mwenyewe, japo napenda auba abaki,

Zaha sawa ni msumbufu, tena msumbufu kweli japo wakati mwingine anakuwaga kazi bure, lakini huyu labda wa achukue nafasi ya iwobi ila sio auba.

Ziyech Usimuwekee mategemeo makubwa saaana, nadhani anaweza asing'are EPL
 
Wakuu nasikia carasco anatua any time.......niulize tu watu wa data ni kweli?
 
BOOM! As per the reliable @SampNews24, Arsenal have submitted an improved €50m combined bid for Sampdoria duo:

1.Denis Praet - 25 year old midfielder
2.Joachim Andersen - 23 year old ball playing centre back

This offer has met expectations of their president Massimo Ferrero. https://t.co/ORbxlRZfHc
Hii ndio habari mkuu ..mimi naamini kwenye Arsenal ya vijana wadogo, wenye talent ,wasio na majina na wenye njaa ya kufanikiwa kama kocha wetu Unai Emery, na kwa uongozi wa arsenal uliopo sasa hivi wana idea kama hiyo, naamini hiki kitu kitajatokea sio muda.
 
kitengo cha Richard hiko

Usajili News na Arsenal reshuffle (mabadiliko ya ndani)

Arsenal yaongeza dau kwa wachezaji wawili wa Samprodia kufikia pauni milioni 44


Mkuu umenipa kitengo kabisa.

🙂🙂

Carrasco anataka kuondoka China kurudi Ulaya na Arsenal wameweka offer mezani na wanasubiri kama ataikubali.

741e1e85-feab-4502-a731-be5953f99156.jpg


Halafu, wana Gunners mwamkumbuka huyu?

Atakuwa na Unai Emery kuanzia msimu ujao akichukua nafasi ya Steve Bould ambae amepelekwa kufundisha vijana wa umri wa chini ya miaka 23 akimsaidia mkuu wa Academy Per Mertesacker.

Steve Bould amekuwa "demoted" kutokana na Arsenal kucheza vibaya sana msimu ulopita.

Smaue Umtiti haji tena Arsenal kutokana na kushindwa kufuzu kucheza CL.

Ryan Fraser anaweza kuja Arsenal ingawa Bournemouth wamepania kuwasumbua Arsenal.

Tutaendelea kupeana Updates.
 
Arsenal na habari za Usajili:

Arsenal wameongeza dau la kutaka kuwasajili wachezaji wawili wa Samprodia
Dennis Praet na Joachim Andersen.

Arsenal launch £37m bid for Sampdoria pair?

Joachim Andersen


Arsenal wameweka tena mezani Euro milioni 50 sawa na pauni milioni 44.

Joachim Andersen ni mchezaji wa kimataifa na pia ni beki mshahara wa Denmark na Arsenal wanataka Anderson achukue nafasi ya "boss" Laurent Koscielny.

Arsenal wameamua kufanya kweli baada ya kusikia Tottenham wakizongea kwenye viunga vya Serie A nchini Italy.

Denis Praet ni mchezaji wa kiungo wa timu ya taifa ya Belgium na aliwahi kuchezea Arsenal akifanyiwa majaribio akiwa na umri wa mika 16 kabla ya kwenda kwenye timu ya Anderletch.

Praet once had trials with Arsenal
Denis Praet

Samprodia ni timu ambayo imekwishfanya biashara na Arsenal ilipomruhusu Lucas Torreira asajiliwe na wakongwe hao wa kaskazini mwa jiji la London.
 
Wakuu nasikia carasco anatua any time.......niulize tu watu wa data ni kweli?
Carrasco ni mwendawazimu, ndio maana el cholo alimuachia easy, labda aje ajirekebishe arsenal..
Ni mchezaji msumbufu akiwa na mpira mguuni lakini hana madhara makubwa saana lango mwa mpinzani.
 
Atajirekebisha tu kama auba.....
Ila si anaweza walisha washambuliaji mipira mingi???
Carrasco ni mwendawazimu, ndio maana el cholo alimuachia easy, labda aje ajirekebishe arsenal..
Ni mchezaji msumbufu akiwa na mpira mguuni lakini hana madhara makubwa saana lango mwa mpinzani.
 
Back
Top Bottom