Will Jr
JF-Expert Member
- Jul 21, 2018
- 4,661
- 6,579
Mkuu nakumbuka kuna kipindi Mustafi akiwepo tulikuwa hatupotezi mechi. Alikua akipata injury paka nawaza nani ataziba pengo lake, aliwahi kucheza game kama 22 hivi unbeaten duuh,ila sasa hivi acha aende tu.Usajili umefunguliwa rasmi jana usiku. Wazee wa tetesi tumeanza na Walter Kanneman ambapo taarifa zinasema arsenal tumetuma rasmi ombi la kumsajili beki huyo wa kati wa kimataifa Argentina anayekipiga ktk klabu ya Gremio
Arsenal imekuwa ikimfuatilia Kannerman kwa muda mrefu sasa
Halaf ni left foot
Kanemman ni mzee wa viatu na Anakaba kwa nguvu ngoja tuone dili litaendaje
Hapa naziona taa nyekundu zikimuwakia Mustafi.
HV jamaa anakwama wapi mbn kwangu namuona ni beki aliyekamilika ukimchek kwa haraka???
Mfn ana nguvu,ana mbio,anajua kutembea na MTU na akamvuluga asifanikishe lengo n.k ambazo NADHANI ni sifa za beki no4 yeyote!
Nlikuw namwelewa Mustafi sana ila ameniangusha kwa kiwango cha lami.