Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Takuma Asano will return to #AFC next season. @Hannover96 announced.

Klabu ya Hannover96 wametangaza kuwa mchezaji wa arsenal ambaye yupo kwa mkopo kwao Asano takuma atarudi arsenal

Wachezaji wengine ambao watarudi ni pamoja na Bielik na Nelson ambao tayari wameshathibitishwa
Nelson namkubali sana mpira ulimkubali bundasliga
 
According to Ornstein, Arsenal played a match behind closed doors last week, in which Welbeck scored a hat-trick. If he honestly returns from a long-term injury & ends up winning us the Europa League, he deserves a statue outside of The Emirates with a stand named in his honour.
 
Kumbe uyu dogo dili mnaona kimya anaisubir Arsenal mustakabari wake wa kucheza uefa champion league msimu ujao! Daah Chelsea ndio mawakala wakuu kwenye hili aisee
IMG-20190520-WA0004.jpeg
 
*Raul Sanllehi and Vinai Venkatesham sat down for a lengthy interview with Arsenal media*.

Key point from Sanllehi: "We need to outsmart the market, we need to make the right signings, do the right sales, the coaching staff needs to prepare the games properly like they do."

"Tunatakiwa kuwa wastaarabu kwenye soko la usajili,Tunaitaji kufanya usajili ulio sahihi, na kuuza wachezaji sahihi wa kuuzwa, Waalimu na benchi la ufundi wanajiandaa na kufanya maataalisho mazuri ya mchezo wetu wa fainali."

Raul Sanlehhi - Arsenal Head Of Football
 
Sanllehi on UEL final:

"We are extremely excited. There’s not so many finals you get over time, so we’re really excited & hoping we can deliver that to our fans. We extremely believe in the capabilities of the team & denitely in the capabilities of our coach to lift that trophy" https://t.co/JRRDpS1lw9


Sanllehi:

"He’s won it 3 times already, he’s never lost a final & we’re hoping that streak continues. When we were talking about the objective to qualify for the Champions League & he'd always mention the Europa League in our objectives. He was very clear - he wanted this title" https://t.co/oWY3EtdcCo
 
Mabadiliko benchi LA ufundi

Freddie ljungberg anatarajia kuchukua nafasi ya Steve bould kwenye benchi LA ufundi LA Arsenal....ameteuliwa kuungana na mkufunzi wa timu hiyo inayoongozwa na Unai Emery pamoja na Juan Carlos Carcedo
 
Vinai: "Stan & Josh Kroenke are in sport because they're passionate about sport and they want to win. (The vision) comes from our owners. They're hugely involved in what we do." #AFC
 
Hayo ndio yaliyoongewa na viongozi wetu kuhusu ambitions za wamiliki wa timu. Sasa kama ni porojo au wanamaanisha ni jambo la kusubiri


Inasemekana Kronke hakuwahi kuwekeza kwenye timu zake mpaka alipokuwa solely owner. Sahiv ndio solely owner wa arsenal ngoja tuone
IMG-20190521-WA0005.jpeg
IMG-20190521-WA0004.jpeg
IMG-20190521-WA0003.jpeg
 
Wachezaji wa Arsenal wameahidiwa bonuses £10m kama Arsenal itabeba Europa league sijajua ni kwa mwaka au kivipi au wanagawana maana hyo £10m ni hela ndefu mno.
Kila mchezaji atapewa £500K baada ya gemu..
 
Hearing deals for Hakim Ziyech and William Saliba are close to completion. Hakim is pushing for the deal. Fee for him will be £32M+ add ons. In addition, Saliba to cost £15M. Follow for more updates. #Arsenal #AFC
 
Hearing deals for Hakim Ziyech and William Saliba are close to completion. Hakim is pushing for the deal. Fee for him will be £32M+ add ons. In addition, Saliba to cost £15M. Follow for more updates. #Arsenal #AFC
Yan km kuna kitu inahitaji tuombe ni hili jmn...Mungu saidia kwa hiliii
 
Back
Top Bottom