Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Repeat after me ...Sisi arsenal tumekubali Chelsea kama King of London abebe Europa kwa sababu yeye ndo mwakilishi bora wa Londonmmm
 
1558500364408.jpg
1558500348455.jpg
1558500353822.jpg
1558500370178.jpg
1558500376050.jpg
1558500381096.jpg
1558500388838.jpg
1558500393082.jpg
 
Mwandishi :Timu uliyokua ukiishabikia utotoni?

Zaha: Arsenal, na bado naishabikia.

Baada ya Hakim Ziyech, Alaba na wengine wengi kushindwa kuficha hisia zao, Zaha nae...
 
Ngoro Kante anaweza kuwa nje kwenye mechi ya final vs Arsenal!!!!
=_==_==_==_==_==_=
Pia kisiki Christian Bielik amerejea nyumbani tena baada ya kuwa Charlton kwa mkopo
Na kiwango chake kimepanda
Pia amesema amekuja Arsenal kugombania namba na akina Msitafi
=_==_==_==_==_==_==_
Reiss NELSON ameandika kwenye intagram yake Leo kuwaaga Mashabiki wa TSG Hoffenheim
Oya siyo Ngoro bhana, ni Ngolo Kante.

Halafu kwa habari yenu keshaanza mazoezi tayari.
 
Club have held talks with Ziyech & Rabiot

They’re the first 2 targets we will pursue but both depend on UCL

Rabiots wage & bonus are no issue

Ziyech £25m RC no issue

Both keen to join if we agree terms and get UCL

Fraser a target if no UCL

Things will move fast after EL
 
Arsenal new plyer Gaberial Martinelli wins treble Award @ his club Campeonato paulista FC in Brazil

Best New comer Award
Best player of d season Award
Team of d season Award

He will join Arsenal on first of July
COYG
IMG-20190524-WA0008.jpeg
 
Nikikuomba takwimu utakimbia. Ngoja nikuache kama ulivyo.
Ni taarifa tu nimeileta kama ilivyo, subir jumatano utajua kama tunamuhofia au lah,binafs sijawahi kuona akifanya vzr game yoyote ya arsenal ,huwa anambwela sana
 
Nikikuomba takwimu utakimbia. Ngoja nikuache kama ulivyo.
Uniombe nikutafunie, kwann usiziete mwenyewe kunipinga, mm namsikiaga anafanya vzr lkn game za arsenal huwa anazurura tu toka yupo Leicester , labda unikumbushe game gan aliperfom ya arsenal
 
Naanzaje kuzileta mwnyew na wakat wewe ndio umesema. Hapo unaonekana unapiga porojo tu. Wanasheria wanasemaga, No Evidence No Right To Speak.
Uniombe nikutafunie, kwann usiziete mwenyewe kunipinga, mm namsikiaga anafanya vzr lkn game za arsenal huwa anazurura tu toka yupo Leicester , labda unikumbushe game gan aliperfom ya arsenal
 
Back
Top Bottom