Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

ngoma imeisha 1-1 dakika zilimaliza ila marefarii wa kiingereza ndio hivo tena, kwa kweli wa kulaumiwa ni Rosicky kwa kupaisha penalti.
 
siku njema wakuu.matokeo kama haya ya dakika za mwisho yanauma vibaya sana.

Duuuh....ngoja nilale...Dkk ya 94...wamesawazisha...............................

Mlipewa panalti ikaota mbawa za Mbayuwayu!
Pamoja na yote ila pointi 1 stadium of light na ukizingatia tumecheza watu 10 sio mbaya sana, ila kinachouma ni kwamba tulipata nafasi ya kuzoa pointi zote 3 na tumechemsha, afadhali ya sisi kuliko ManU magoli mawili dakika 2 za mwisho.
 
Pamoja na yote ila pointi 1 stadium of light na ukizingatia tumecheza watu 10 sio mbaya sana, ila kinachouma ni kwamba tulipata nafasi ya kuzoa pointi zote 3 na tumechemsha, afadhali ya sisi kuliko ManU magoli mawili dakika 2 za mwisho.

Mbona mechi ya leo haina uhusiano wowote na Manu?! Au visingizio tu,ha ha..kubali matokeo,ligi inaendelea!
 
Pamoja na yote ila pointi 1 stadium of light na ukizingatia tumecheza watu 10 sio mbaya sana, ila kinachouma ni kwamba tulipata nafasi ya kuzoa pointi zote 3 na tumechemsha, afadhali ya sisi kuliko ManU magoli mawili dakika 2 za mwisho.

Acha kulia lia wewe last three mechi mumekuwa mkicheza 11 zidi ya wachezaji kumi wa timu pinzani! Unakumbuka? Kwa maana hiyo Arsenal hawezi shinda timu zikiwa zote kamili 11
 
Mbona mechi ya leo haina uhusiano wowote na Manu?! Au visingizio tu,ha ha..kubali matokeo,ligi inaendelea!
BJ maisha yote ligi hii mimi naangalia perfomance ya wapinzani wetu wa jadi ManU, Chelsea na Liverpool.
 
Acha kulia lia wewe last three mechi mumekuwa mkicheza 11 zidi ya wachezaji kumi wa timu pinzani! Unakumbuka? Kwa maana hiyo Arsenal hawezi shinda timu zikiwa zote kamili 11
Mimi sijatoa kisingizio kuhusu Song, alistahili kadi nyekundu fair and square, ninalaumu timu yangu zaidi Rosicky kwa kusababisha tupoteze pointi 2
 
BJ maisha yote ligi hii mimi naangalia perfomance ya wapinzani wetu wa jadi ManU, Chelsea na Liverpool.

Nimekusoma mkuu!! Nilijua kwenye perfomance mbaya ManU ndo benchmark!.. Haya kesho ni ushindi kwetu!!..poleni kwa leo!!
 
Mimi sijatoa kisingizio kuhusu Song, alistahili kadi nyekundu fair and square, ninalaumu timu yangu zaidi Rosicky kwa kusababisha tupoteze pointi 2

Arsenal are not a threat at all, any team inayocheza kwa nguvu kama wanaume they cant stand the heat! KUsho if we beat Blackpool, the difference will be 4 points.
 
...:thumb: ...kesho msitukimbie tu hapa.
 
Poleni washika bunduki wenzangu..............Rosicky latupeperushia ushndi jana yaani
 
Back
Top Bottom