Surya
JF-Expert Member
- Jun 7, 2015
- 9,761
- 15,577
Kupigwa 3 bila
Kwan wewe unadhan tuna nguvu gan
Kwan wewe unadhan tuna nguvu gan
Huenda naye kajinyonga, au tumuulize @Ollachuga maana anajua chimbo lao la kujipiga BAN




mtafuteni AROON popote alipo man huu msiba kwa sio wa kucheka tena. Ni kujumuika wote kwa pamoja na kuhuzunika..HahahahaArsenal kazi Yao kupanua tu watu wanajipigia magoli matatu matatu![]()





hii kali ya kibabe sanaaaa....





Hahahahaha uko Europa ni balaaaaaNguvu tuhamishie Europa ,
Huku kwa mechi zilizobaki pia nafas bado IPO,
Sasa mkuu unaweza kweli kuropoka hapa pazia lako kepa kufananisha na Leno?Hahahahahii kali ya kibabe sanaaaa....
Kwa lile tambala lao pale golini linatanua wauni wa nafanya yao![]()
Sasa mkuu unaweza kweli kuropoka hapa pazia lako kepa kufananisha na Leno?
Una Watford ,una leiHahahahaha uko Europa ni balaaaaa
Tatizo mpira mnasimuliwa, najua hata jero ya banda umiza huna, unasubir liver score na vi clipLeno hamna kitu mkuu pale
Wanitafute kwan mm nimeenda wapi,mtafuteni AROON popote alipo man huu msiba kwa sio wa kucheka tena. Ni kujumuika wote kwa pamoja na kuhuzunika..
Kwanza wewe timu gani ,jitambulishe tujue ni nyumbu ,chelwowo au Liverpool,isije kuwa ni mamluki tuKupigwa 3 bila
HahahahahahaSasa mkuu unaweza kweli kuropoka hapa pazia lako kepa kufananisha na Leno?





Hahaaa cheltako ndio timu bora?Hahahahahaha
Mkuu kipigo kimevuruga akili yako. Toka mchana nilikupa tahadhari kuhusu Leicester ..sasa angalia kipigo nnayoenda kumpa. Ndo utajua kuwa una timu mbovu.
London timu ni moja tu CHELSEA.
IPO bado, hata Europa pia, muhimu sasa turudi mchezoni, nikawaida kupitia kipind cha mpitostill chance ipo ni kuombea majirani njaa tu
Cheltako inarud kwenye hadhi yake ya kina Fulham ,Hahahahahaha
Mkuu kipigo kimevuruga akili yako. Toka mchana nilikupa tahadhari kuhusu Leicester ..sasa angalia kipigo nnayoenda kumpa. Ndo utajua kuwa una timu mbovu.
London timu ni moja tu CHELSEA.
Tumebakiza home na Brighton, na away na Burney,mwenye mechi nyepesi ni Man u tu ila sisi na chelsea kazi ipo
Cheltako hii hii ndio timu bora? HahaaaHahahahahaha
Mkuu kipigo kimevuruga akili yako. Toka mchana nilikupa tahadhari kuhusu Leicester ..sasa angalia kipigo nnayoenda kumpa. Ndo utajua kuwa una timu mbovu.
London timu ni moja tu CHELSEA.
OkJambo zuri Chelsea abondwe na sisi tumpige lei