Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Wewe ni nan ,na ni timu gani, ?
Umepata kibari wapi cha kuzuia arsenal fans wasiongee?tuanzie hapo
ulishaanza nitaanzaje na mimi mimi ni member wa jf nachowambia mnatakiwa majadili malengo ikiwemo kikos sio mnaruka kila gemu mbeleni maneno chungu nzima mnashinda bila kutafakari mmekosea wapi ARSENAL MTAANI MITANDAONI NI KELELE SAIV UTASIKIA EUROPA YETU UTADHANI USHAFUZU NUSU FAINALI
 
ulishaanza nitaanzaje na mimi mimi ni member wa jf nachowambia mnatakiwa majadili malengo ikiwemo kikos sio mnaruka kila gemu mbeleni maneno chungu nzima mnashinda bila kutafakari mmekosea wapi ARSENAL MTAANI MITANDAONI NI KELELE SAIV UTASIKIA EUROPA YETU UTADHANI USHAFUZU NUSU FAINALI
Jibu swali wewe ni fan WA timu gan, au jf ni timu, au umekuja kupiga mboyoyo humu, mbona tukishinda hamji ,tukifungwa mnakuja,,hii I'd yako ndio naiona Leo humu,
 
Today an #Arsenal’s scout will be in Italia to watch Dennis #Praet in Sampdoria-Lazio. #Gunners are interested in him (is one of the #Emery's ideas to replace #Ramsey) and it is not the first time they follow him and it has already been appreciated. #transfers #AFC
 
Aaron pole sana Ndugu, maana ni mechi ya 3 mfululizo unafungwa, siongei sana maana Chelsea hafiki popote ktk top 4 zaidi ya kucheza EUROPA tu.
Dah acha tu kaka, wachezaji walishafit mfumo WA 3-4-2-1 ,kocha anabadili kila game sijui anatafuta nn, ila chance bado ipo baada ya sare ya 1-1 ,

Ngoja tujipange alhamis na Europa,
 
Jibu swali wewe ni fan WA timu gan, au jf ni timu, au umekuja kupiga mboyoyo humu, mbona tukishinda hamji ,tukifungwa mnakuja,,hii I'd yako ndio naiona Leo humu,
Hahahahaha

Leo unakana utujui mkuu ...kweli Kipigo kimekupa headache.
 
Ngoja tuone hadi game ya mwisho kama utamaliza top 4, maana umekuwa mpiga mboyoyo
Mimi nakupa stats za uwakika za kuingia top four ..wewe unaleta masikhara ...kwa ufupi ni kwamba wewe manure anakutoa apo nafasi ya tano ..wewe Mara ya mwisho unamaliza juu ya Chelsea ilikuwa ni gan vile..
 
Mimi nakupa stats za uwakika za kuingia top four ..wewe unaleta masikhara ...kwa ufupi ni kwamba wewe manure anakutoa apo nafasi ya tano ..wewe Mara ya mwisho unamaliza juu ya Chelsea ilikuwa ni gan vile..
Umekuwa mpiga ramli,

Mimi najua chelwowo ni timu ndogo , nimekwambia subiri mech ziishe ndio upige kelele, lasivyo najua utakimbia ,

Uzuri ukweli unaujua, kama umeshindwa kuifunga nyumbu ujihakikishie top. 4, basi nakuomba umalizie hizo mech 2, nione jeuri yako,
 
ulishaanza nitaanzaje na mimi mimi ni member wa jf nachowambia mnatakiwa majadili malengo ikiwemo kikos sio mnaruka kila gemu mbeleni maneno chungu nzima mnashinda bila kutafakari mmekosea wapi ARSENAL MTAANI MITANDAONI NI KELELE SAIV UTASIKIA EUROPA YETU UTADHANI USHAFUZU NUSU FAINALI
huyo jamaa ni mropokaji tu utapoteza muda wako bure kujibizana nae. Mpira wake huyo upo mdomoni. Nikumwacha na ujinga wake
 
Back
Top Bottom