Nilisema mmAki huruma kwa Arsen
Unaleta uman u sindio???ShushaaaaaaaView attachment 1083465
Hahahahahaha ngoja nimalizane na Man united kwanza.
Tuna comeback mkuu. Angalia apoNadhani unakijuwa kinachoendelea huko OT
Jamani hebu tufunike kwanza hiki chakula tukamtafute aroon..hatuwezi endelea na matanga bila kujua mwenyenyumba yuko wap



haahaaa pole na kipigoHaya matokeo ya nyumbu na chelwowo
Ni last chance kwetu, au tuhamishie nguvu Europa,
Hapa ni do or die kwenye League na Europa league hii ni last chance kwetu yaani ni do or die sababu top 4 itaamuliwa na Chelsea na ArsenalHaya matokeo ya nyumbu na chelwowo
Ni last chance kwetu, au tuhamishie nguvu Europa,
Pole kwa kupondwa na kitu kizito sana kichwaniNguvu tuhamishie Europa ,
Huku kwa mechi zilizobaki pia nafas bado IPO,
Haya matokeo ya nyumbu na chelwowo
Ni last chance kwetu, au tuhamishie nguvu Europa,
Pole na wewe unayeelekea kumaliza msimu ukiwa emptyPole kwa kupondwa na kitu kizito sana kichwani
Kwan wewe unadhan tuna nguvu ganNguvu gani mliyo nayo?