Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Moja ya marefa bora kabisa hapindi wala kutoa favour umeme umeme tu,yellow yellow tu, tuta ataweka hata sekunde ya mwisho, very straight person

Hapa napingana na wewe!

Kuna Mashabiki wa Aina mbili:

1) Wanaofatilia mpira tu bila ya kufatilia jambo jengine lolote. (Hawa ukiwauliza hata ni Refa gani au Commentators gani Walioparticipate kwenye game yao basi hawajui).

2) Kuna mashabiki wanaoangalia Mpira na kila kinachohusiana na Mpira.

Turudi kwenye point!
• Mimi ni Mshabiki wa Liverpool lakini Michael Oliver ni Refer ambaye anatufavour katika Maamuzi mengi ya utata na Ndiyomana mechi akichezesha yeye tunashinda japo kwa Tuta la Utata.

• Michael Oliver ni Refa anayezichukia Sana Timu za London (Arsenal na Chelsea) Na ndiyomana Akichezesha Game ya Chelsea anakuwa na Maamuzi mengi ya Utata yanayoiumiza Chelsea.

Timu pekee ambayo anayoipenda kindakindaki ni Spurs tu.

Na yupo Neutral kwa Man United haipendi wala haiumizi.
 
Beki yetu Emery inabidi afanye usafi usajili ukianza.
Hata Emery ni wa kusafishwa pia kutukana nataka ila naogopa ban Mechi ya Manchester United na Chelsea nasema hivi kama Manchester United atashinda Arsenal top 4 haendi na Chelsea akishinda ndo kwa heri ila nlisema Arsenal tutaikumbuka penalty aliyokosa Aubameyang dhidi ya Spurs aliipiga kisenge akijua ni penalty Muhimu sana sana na nkiangalia mechi ya Man na Chelsea siioni droo kabisa
 
Kama sikosei Arsenal amepigwa goli 9 kwenye mechi 3
Kwa hesabu za darasa la 4 tunasema 3 × 3 = 9
 
Hata Emery ni wa kusafishwa pia kutukana nataka ila naogopa ban Mechi ya Manchester United na Chelsea nasema hivi kama Manchester United atashinda Arsenal top 4 haendi na Chelsea akishinda ndo kwa heri ila nlisema Arsenal tutaikumbuka penalty aliyokosa Aubameyang dhidi ya Spurs aliipiga kisenge akijua ni penalty Muhimu sana sana na nkiangalia mechi ya Man na Chelsea siioni droo kabisa
kwani hiyo penalty aliyokosa dhidi ya spurs ndio imewafanya wafungwe na hizi game nyingine. Usitafute sababu timu kama ni mbovi ni mbovu tu
 
MECHI IJAYO ARSENANE HATAKI MAN U ASHINDE PIA HATAKI CHELSHIT ASHINDE PIA HATAKI WADROO, MAYOKEO YOYOTE TOP 5 INAMUHUSU
 
Sven alishaondoka toka february nyie ndo msiejua mpira malopolopo
Asa kuna uhusiano gani kati ya sven kuondoka na matokeo mabovu ya timu?
Unajua sababu za Sven kuondoka? Kuwa mstaarabu nani amelopoka? Kauli za kiuni wote tunazijua.
 
We fala nini soma upya au nikusaidie wewe kilaza spurs ana point 70 kama angefungwa angekuwa na 68 na Arsenal 68 ndo ilikuwa mechi muhimu sana sababu pia tulipata penalty dk ya 90 timu ya Arsenal Manchester United na Chelsea Chelsea spurs wote ni wabovu na ni timu za kusafisha wachezaji nimekusaidia kukufafanulia
kwani hiyo penalty aliyokosa dhidi ya spurs ndio imewafanya wafungwe na hizi game nyingine. Usitafute sababu timu kama ni mbovi ni mbovu tu
 
Sisi tuangalie Europa league kwa sasa sababu tumepewa sana nafasi tumeichezea na Chelsea akishinda Manchester United ndo bye bye Mara mia ni heri Manchester United ashinde kuliko ashinde Chelsea
MECHI IJAYO ARSENANE HATAKI MAN U ASHINDE PIA HATAKI CHELSHIT ASHINDE PIA HATAKI WADROO, MAYOKEO YOYOTE TOP 5 INAMUHUSU
 
Jamani hebu tufunike kwanza hiki chakula tukamtafute aroon..hatuwezi endelea na matanga bila kujua mwenyenyumba yuko wap
 

Yule shabiki wenu mwenye mdomo mrefu yuko wapi?

sasa huu mdomo wake umekatwa kwa mara ya pili mfululizo utaota tena kweli?
 
Back
Top Bottom