Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hatuna kocha pale toka tumeanza game ya leo tulikuwa tumezidiwa sana. Kocha huyu hana tofauti na Wenger.
 
Hatuna kocha pale toka tumeanza game ya leo tulikuwa tumezidiwa sana. Kocha huyu hana tofauti na Wenger.

IMG_5156.JPG
 
Nilisema jana mwenye shida na mkuu AROON amtafute jana leo hataonekana humu
 
Hii team jamani. Nilishajisajili kwa mkopo Man City mpaka pale wale watoto watakapoondoka.
 
Back
Top Bottom