milangomitatu
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 1,469
- 1,167
Leicester ana mechi 3 za mwisho
Arsenal-home
Manchester City- Away
Chelsea-home
Kiuhalisia hapa Leicester hawez fungwa game zote ila kibonde hapa wa Leicester city ni Manchester City na Chelsea na wote msimu huu round ya kwanza kawapiga na pia ukiangalia kwa Makini Leicester city hapa atamla kichwa mmoja wapo ila kama Arsenal atashinda kama atashinda hii game ambayo ni ngumu kweli (kiuhalisia game ngumu ilikuwa ni ya wolves) basi top itakuwa ni njia nyeupe asilimia 70
Arsenal-home
Manchester City- Away
Chelsea-home
Kiuhalisia hapa Leicester hawez fungwa game zote ila kibonde hapa wa Leicester city ni Manchester City na Chelsea na wote msimu huu round ya kwanza kawapiga na pia ukiangalia kwa Makini Leicester city hapa atamla kichwa mmoja wapo ila kama Arsenal atashinda kama atashinda hii game ambayo ni ngumu kweli (kiuhalisia game ngumu ilikuwa ni ya wolves) basi top itakuwa ni njia nyeupe asilimia 70
Game yenu na Leicester ni ngumu sana coz nyinyi muna nafasi ya kushinda na wao wana nafasi ya kushinda.
Ila kama mutapoteza kwa Leicester basi nahisi mshindi kati ya Manur na Chelsea ndiye atakayekama nafasi ya 4
