Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Dah, pigo kubwa hili hasa kipindi hiki ambacho "tunaunga unga mwana"
Cha muhimu toreira na xhaka wawe wazima tu, mbona haponi MTU,

Shida inaanzaga midfielder zikiumia ,dah naumwaga hadi kichwa,

Next season naiman tutakuwa na backup nzuri ya midfield ,sio hii ya sasa ya neny na matteo
 
Auba hatakuwepo Leo,

So sad
IMG-20190424-WA0030.jpeg
 
Na leo tukifungwa duh. Kwaukweli tumekua tukipoteza game kizembe kipindi hiki
 
Narudi kuwacheki Manchester City wachukue ubingwa Arsenal yetu hii ndo basi tena kama leo hatutashinda jumapili tutapigwa tena na Leicester na ndo itakuwa bye bye
 
Back
Top Bottom