Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mnalitimu libovu mna wachezaji viwete timu nzima Kipa ndio chujio la nazi kabisa.......
.Acheni midomo timu nyie hamna zaidi ya porojo tu
Timu mbovu huku haishuki daraja au sio? Kacheze kombolela
 
1080447
1080448
 
Niujinga tu, timu nzima hakuna fundi wakuaminika wakupiga penalty???

Angalia liver huko match ngumu nani anapewa kupiga penalty.
Ni mtu selective kabisa, sio kukurupuka.
Narudia wana Arsenal wenzangu hata jana kulisema Ile penalty aliyokosa Aubameyang tarehe 12 May tutakuja kuikumbuka
 
Niujinga tu, timu nzima hakuna fundi wakuaminika wakupiga penalty???

Angalia liver huko match ngumu nani anapewa kupiga penalty.
Ni mtu selective kabisa, sio kukurupuka.
Kwa sasa natabiri nafasi yetu ya Top 4 ipo mikononi kwa Manchester United jumapili endapo Chelsea atashinda sisi ndo basi tena nakwambia
 
Kwa sasa natabiri nafasi yetu ya Top 4 ipo mikononi kwa Manchester United jumapili endapo Chelsea atashinda sisi ndo basi tena nakwambia

Ingawa nina takriban wiki 2 sijaangalia msimamo coz hauna umuhimu kwangu kwani naamini ligi imeshaisha kwamimi! Lakini Je Man United akishinda against Chelsea pia huoni kuwa Nafasi ya Top Four kwa Arsenal bado ipo matatani? Coz Manure bado nafasi anayo!
 
Ingawa nina takriban wiki 2 sijaangalia msimamo coz hauna umuhimu kwangu kwani naamini ligi imeshaisha kwamimi! Lakini Je Man United akishinda against Chelsea pia huoni kuwa Nafasi ya Top Four kwa Arsenal bado ipo matatani? Coz Manure bado nafasi anayo!
Hapo ni kama bahati nasibu Arsenal akishinda mechi zote 3 za mwisho Chelsea akafungwa na Manchester United hapo tunaenda top 4 kabisa ila hii ni bahati nasibu Mimi naamini mechi za Crystal palace(ambako home huwa hatufungwi) na Tottenham away(tukakosa penalty dk ya 90) tumezichezea sana bahati na ndio naona ni mechi ambazo zimetuingiza kwenye tetemeko kubwa
 
Hapo ni kama bahati nasibu Arsenal akishinda mechi zote 3 za mwisho Chelsea akafungwa na Manchester United hapo tunaenda top 4 kabisa ila hii ni bahati nasibu Mimi naamini mechi za Crystal palace(ambako home huwa hatufungwi) na Tottenham away(tukakosa penalty dk ya 90) tumezichezea sana bahati na ndio naona ni mechi ambazo zimetuingiza kwenye tetemeko kubwa

Game yenu na Leicester ni ngumu sana coz nyinyi muna nafasi ya kushinda na wao wana nafasi ya kushinda.

Ila kama mutapoteza kwa Leicester basi nahisi mshindi kati ya Manur na Chelsea ndiye atakayekama nafasi ya 4
 
Back
Top Bottom