Masamila
JF-Expert Member
- Jun 22, 2014
- 6,505
- 7,465
Hahahaaaa.. Ukilenga tu Imooooo 2-0 huko
Ni tatu mkuu na sio mbili kama ulivosema hahahahahahah
Hahahaaaa.. Ukilenga tu Imooooo 2-0 huko
Gari ya mkaa ndivyo ilivoWameanza kukimbia uzi. Arooon njoo uchukue pazia lako huku
Ni tatu mkuu na sio mbili kama ulivosema hahahahahahah
Umeridhika bila shakaLeo kikosi angalau kapanga vzr, hata tukifungwa nitaridhika

















































Wakat naandika hiyo comment ilikua mbili. Kumbe wamesha tripple
Hii ndio Arsenal nilioijua
Salam zako, wolves ni habari ya mjiniArsenal unayoijua wewe sio iliokupiga 2 mtungi?
Mzee wa arsenyeto upoKikosi kizuri Sema tuwe na displin ya kushambulia hawa madogo kwa couter ni wazuri sanaView attachment 1080154
Tayari mshakalia dude hukoLeo hata tukifungwa nitaridhika