OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,933
- 25,245
Hii ndo arsenal tunayoijua miaka yote...kucheza Europa na kuwa mshindani wa kuunga unga kweny ligi..hahahaDuniani timu ni moja tu inaitwa Arsenal au ARSENAL zilizobaki ni vikundi vya taarab. Nashauri Cheltako wamsajili Isha Mashauzi kama kipa wao naona Kepa amezidi kua shati