Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Duniani timu ni moja tu inaitwa Arsenal au ARSENAL zilizobaki ni vikundi vya taarab. Nashauri Cheltako wamsajili Isha Mashauzi kama kipa wao naona Kepa amezidi kua shati
Hii ndo arsenal tunayoijua miaka yote...kucheza Europa na kuwa mshindani wa kuunga unga kweny ligi..hahaha
 
Acha kuongea pumba ,ndio maana mkifungwa ,unajipiga ban wiki nzima,muda mwingine uwe unaongea uhalisia
Unataka kusema Xhaka na Toroli sjui toroiera wanamzidi nin the master pass Jogihno? Leta stats apa...
 
Unataka kusema Xhaka na Toroli sjui toroiera wanamzidi nin the master pass Jogihno? Leta stats apa...
Wewe fala kweli ,unafananisha toreira au xhaka na legelege huyo jojina ,anapiga back pass hana hata assist 2
 
Kwa timu ya arsenal ilivyo na mizigo mingi ndani,haifai kufanya rotation ,
Mustafi ,jenko,neny, iwobi, hawa wanatakiwa wauzwe waje watu,
Unai Jana katuvua nguo ***** ,man u wanafurahia utadhan hawajapigwa 4 kavu
 
Lini kepa aliwabeba Chelsea? Leno beki zikipotea anaibeba sana timu labda hufatilii ndio maana unabwabwaja
Huyo degea mwenyewe sio kila mech anaibeba timu,
Allison wa Liverpool kidog ndo atamzid the Best Kepa, ila pengine kwa sababu Liverpool wana strong defense kuliko sisi..
 
Nadhani emery sasa kajifunza, kikosi cha kwanza anacho ,anataka kufanya rotation duh
Nafikiri majeruhi ya Ramseh na Xhaka na suspension ya beki wetu imechangia matokeo ya jana.

Sijawahi kumkubali Guendouzi na Elnen hata watazama mpira wenzangu wanajua.
 
Allison wa Liverpool kidog ndo atamzid the Best Kepa, ila pengine kwa sababu Liverpool wana strong defense kuliko sisi..
Kepa hakuna kitu uwe unaelewa , hata hizo cleansheet alizipata mwanzoni ligi anaanza , sasa hivi anatobolewa magoli ya mbali tu, mkishambuliwa kidogo tu goli,au huangalii mechi una subiri matokeo uanze kelele au ujipige ban
 
Kwa timu ya arsenal ilivyo na mizigo mingi ndani,haifai kufanya rotation ,
Mustafi ,jenko,neny, iwobi, hawa wanatakiwa wauzwe waje watu,
Unai Jana katuvua nguo ***** ,man u wanafurahia utadhan hawajapigwa 4 kavu
Nyie mnanunua vichezajj vya paundi million kumi, tano uko ..mnategemea vitafanya maajabu hahahaha..

Piga mbuzi hawa..
 
Nafikiri majeruhi ya Ramseh na Xhaka na suspension ya beki wetu imechangia matokeo ya jana.

Sijawahi kumkubali Guendouzi na Elnen hata watazama mpira wenzangu wanajua.
Hii imechangia kwa kiasi kikubwa, lkn nje alikuwa na toreira , yeye kaanza na neny na matteo
 
Kwa timu ya arsenal ilivyo na mizigo mingi ndani,haifai kufanya rotation ,
Mustafi ,jenko,neny, iwobi, hawa wanatakiwa wauzwe waje watu,
Unai Jana katuvua nguo ***** ,man u wanafurahia utadhan hawajapigwa 4 kavu
Wanafurahia wa mtandaoni tu kuna mbuzi mmoja jana alisema Man ikifungwa anatembea tumbo wazi.

Na kitambi alichonacho jana ilikua kituko si kipolepole.
 
Wewe fala kweli ,unafananisha toreira au xhaka na legelege huyo jojina ,anapiga back pass hana hata assist 2
Nmekuambia leta stats apa za Xhaka vs Jogihno na Toroera vs the master pass Jogihno.. Acha kelelee
 
Nyie mnanunua vichezajj vya paundi million kumi, tano uko ..mnategemea vitafanya maajabu hahahaha..

Piga mbuzi hawa..
Wewe una kipa pazia la 70 ,upo nafasi ya kwanza? Mimi mwenye WA paun 10 nipo top 4 na Nina uhakika WA top 4 na europa
 
Nyie mnanunua vichezajj vya paundi million kumi, tano uko ..mnategemea vitafanya maajabu hahahaha..

Piga mbuzi hawa..
Sasa wewe keleng'ende mmenunua waimba taarab wa pauni 45m na kuendelea hadi muda huu mko wapi?
 
Sasa wewe keleng'ende mmenunua waimba taarab wa pauni 45m na kuendelea hadi muda huu mko wapi?
Anaropoka huyo hajui mpira ,ndio maana wakifungwa anajipiga bani wiki nzima, bora Arsenal inafanya translation na msimu ujao inawaondoa kina neny, jenko,mustafi , na sasa IPO nafas ya 4, yeye aliyenunua kipa kwa 71 hata top 4 hana uhakika Nayo,anapiga kelele
 
Back
Top Bottom