Richard
JF-Expert Member
- Oct 23, 2006
- 14,939
- 20,400
Unai Emery:
"The doctor said to me in the first half he had a little bit of pain like Thursday and I decided 'ok, it's the moment'."View attachment 1072678
Yohana 3:16
Pia washabiki wa Watford walikuwa wakimzomea kila mara Torreira alipokuwa akipewa mpira hivyo hiyo pamoja na ile kadi nyekundu kwa Deeney vilimfanya Emery achukue uamuzi wa busara wakati wa mapumziko.
Game la jana lilikuwa ni kutotumia nguvu nyingi kwani kuna Napoli Alhamisi na jumapili tunacheza na Crystal Palace.
Arsenakl inahitaji angalau point 6 tu kufikia 72 ili kuwa na uhakika wa top 4, ila inawezekana kutafuta maximum points yaani hata 78 au 81 ambazo ndo mwisho kwa Arsenal ikishinda mechi 5 zilizobaki.
Ila Priority kwa sasa ni mechi na Napoli ili kufikia nusu Fainali ingine.