Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Game ya Everton shida ilikuwa midfield mkuu,

Now unamuona LT11 ,Ramsey, xhaka wamerejea

Yohana 3:16
Daah Ile Mechi Gooner walicheza level ya Ndanda FC kabisa. Mipira mbele ilikuwa haiendi kabisa....Mpaka Castle lite ilikuwa chungu usipime. Dalili ya kupata Goal huioni....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Waingie watu wakaz turud kwenye 3-4-3 ,upande wa mustafi unavuja na wanapitia kwake

Yohana 3:16
 
Timu inacheza ovyo sana

Sent using Jamii Forums mobile app
Mikhitaryan iwobi ndio watu ambao wanatakiwa wawe funguo mashambuliz kule pemben lkn wote wamecheza vibaya kiasi timu inashindwa kuondoka kwa haraka!

Lkn sehemu nyingine ni kwenye midfielder aron ramsey na xhaka hawa wamefeli kuitanua timu inapokuwa na mpira! Ramsey kma namba 10 nadhan tunamjua si mbunifu na timu namna inavypshindwa ku link kuanzia pemben ndio kbsa inafanya asiwe na kazi maalum! Maana huyu ni mchezaj ambae anajua kwenda na movement ila kma hizo move zinakosekana basi hubakia anazunguka tu!

Ila upande mwingine ni kwamba Watford wamecheza vzr wakitumia nguvu kituzuia!

Yohana 3:16
 
Bado hatuko kwenye kiwango kizuri sitoshangaa wakichomoa tukiendelea kuzubaa zubaa nahuyu dogo mavro dah naona kama atachoma mda wowote yani

Sent using Jamii Forums mobile app
Mavro amecheza vzr, upande wa mustafi ndio tatizo

Leo mustafi anacheza namba 2,

2nd half waingie watu wakazi turud kwenye 3-4-3

Ozil arud shimon nyuma ya washambuliaji wawili



Yohana 3:16
 

Download Mobdro Application kutoka google, siyo playstore.

Then utaenda Sky Sports Main Event.

Icon yake inafanana hivi:-

Screenshot_20190415-230819.jpg
 
Mavro amecheza vzr, upande wa mustafi ndio tatizo

Leo mustafi anacheza namba 2,

2nd half waingie watu wakazi turud kwenye 3-4-3

Ozil arud shimon nyuma ya washambuliaji wawili



Yohana 3:16
Unai badala aingize washambuliaji kama Lacazzete anaingiza matteo hii game tuombe Mungu tu tunaweza kuaibika tukashangaa tulitakiwa tuwe tuna goli 2 au zaidi ila mpaka sasa tuna 1

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom