Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Lineup hiyo ishatoka

Ozil bench
IMG-20190418-WA0047.jpeg
 
Arsenal XI to face Napoli: Cech; Sokratis, Koscielny, Monreal; Maitland-Niles, Xhaka, Ramsey, Kolasinac; toreira; Lacazette, Aubameyang.
 
#NapoliArsenal UFFICIALE Cech; Sokratis, Koscielny, Monreal; Maitland-Niles, Xhaka, Torreira, Kolasinac; Ramsey; Aubameyang, Lacazette #UEL

Ramsey kama namba 10 huwa simuelewi,

Ila ngoja nione Leo
 
Backline inacheza sana na mitego ya kuotea kwakua wanajua napoli watakua naharaka ya kufika mbele

Japo sinzuri sana nivyema kufanya complete defending halafu maitland niles anahitaji kusaidiwa kule anakua isolated sana hasa tunaposhambuliwa

Tunatakiwa kukaza mpaka mwisho mipira inakua namambo ya ajabu sana siku hizi ukipoteza umakini
 
Backline inacheza sana na mitego ya kuotea kwakua wanajua napoli watakua naharaka ya kufika mbele

Japo sinzuri sana nivyema kufanya complete defending halafu maitland niles anahitaji kusaidiwa kule anakua isolated sana hasa tunaposhambuliwa

Tunatakiwa kukaza mpaka mwisho mipira inakua namambo ya ajabu sana siku hizi ukipoteza umakini
Shukran sana kwa Papastathopoulos Koscielny na nacho Monreal hawa jmaaa uku nyuma wanaelewana na wako makini pia wana tumia zaidi akili!

Torreira xhaka laccazete Aubameyang ramsey/mick wamejitahidi sana kufanya pressing kiasi Napoli wamejikuta wanapata tabu kutusogelea kwenye lango letu kupitia kati kati na wanalazimika kutumia sana pembeni lkn pia wanajikita wanaishia kutupa mipira isiyokuwa na malengo na inaishia mikonon mwa peter cech
 
Hawaja napoli ni wepesi kuliko Rennes (angalau)walitusumbua. Ndo maana matokeo ya mpira sometimes yategemea upepo unavoenda.
 
Back
Top Bottom