Pure Moods
JF-Expert Member
- Aug 29, 2018
- 3,252
- 5,381
Everton tayari mkuu japo AROON alikupingaGame ya Everton, Watford(au droo), Wolves na Foxes mnafumuliwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Everton tayari mkuu japo AROON alikupingaGame ya Everton, Watford(au droo), Wolves na Foxes mnafumuliwa
Kumbe wewe ni manyumbu,
Mm baada ya game nine analyse nikaendelea kuchek nusu fainal fa cup,
Sasa wewe manyumbu mtaa wa 6 ,unachonga nn badala utulie,
'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba
Ninatamani kubold hii kauli hahahahahaChelsea na Man u wameshuka kiwango![]()
Ila Arsenal hiki ndicho kiwango chake![]()
Sent using simu mbovu
Mimi nina wasiwssi sana na Palace, naona hapo napo watadondosha point.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama vipi fungweni kama za Chelsea, hapa itabidi nifanye undugu na Tottenham tu.
City namkalisha, akijitahidi sana anadrawNafas ya 6 ni manyua hiyo mpaka ligi iishe
Usichokijua Leo arsenal kapoteza kwakuwa midfield first eleven hazikuwepo zote
Sasa jifariji wakati una man city, na mnakutana na nduguyo cheltako
'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba
Duu hadi wazee wanajipigia tu bila shida. Kweli arsenyeto wameoza
Kwa timu gani wewe manyumbu ushindeCity namkalisha, akijitahidi sana anadraw
Chelsea namkalisha vizuri tu
Arsenane ni kama mbwa koko tu, akiwa nyumbani anabweka sana akiwa kwa watu anaufyata mkia
Huwezi toka ugenini kwa Wolves, Watford, Leicester wala Burnley. Kwenye hizo mechi Arsenane akijitahidi sana anapata points 4
Hapo sijataja Cristal Palace ambary atakuja kwenu, hii ndio timu iliyomlamba City nyumbani, ndio timu ikiyompiga Everton goli za kutosha
Sent using Jamii Forums mobile app
Ina depend na mfumo ,kwenye 4-2-3-1We jamaa mbona ninaemuona anachezaga DM ni Xhaka bana na sio Torreira
Huwa naaangalia sana mechi za Arsenal na nimeona Mateo na Xhaka ndio wanaweza kumaliza Tackles(DM inawafaa kuliko Torreira). Torreira uwezo wake mdogo kwenye kukaba sema ana uwezo mkubwa kuchezesha timu na hakabiki
Poa kaka wote sisi ni gunners.Nirudie, nimeandika kuwa, wakati Digne anarusha mpira uliozaa goli mguu mmoja ulikuwa ndani ya uwanjani meaning ulivuka mstari(touchline). kama unajua sheria za mpira utajua ninakiandika
Keshajipiga ban huyo.Full taemu:
Evaton 1 vs Arsenal 0.
ARROON yeye alisema mechi zilizobaki anashinda yote. Leo yuko wapi??
Sent using Jamii Forums mobile app