Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Torreira sokratis Europa watakuwepo.

The Return of Lucas Toreira
IMG-20190406-WA0037.jpeg


'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba
 
Wewe ndio muhangaikaji. Kutwa kushinda kwa watu. Unajitapa una timu kumbe mavimavi tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Msimu ujao tunakupeleka championship

Kipa kepa pazia

Hazard to Madrid
Eden Hazard would become Real Madrid's most expensive signing - but would still be cheaper than Philippe Coutinho

Fifa ban ya miaka miwili

HUONI LITIMU LAKO NDIO MAVIMAVI ?

'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba
 
Alichokifanya Everton hujaridhika nacho sasa ivi unaanza kuleta mambo mliyozoea kufanya wana Ass anal.?

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwan Everton wewe si alikubaka cheltako 2-0?

Mm nakwambia msimu huu nafas ya 5-6 ni haki yako ,unabisha

Kwanza Leo kwa westham upambane ,maana liver anaenda kukubaka, then mnaenda kuuana na mwenzako manyumbu,



'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba
 
Msimu ujao tunakupeleka championship

Kipa kepa pazia

Hazard to Madrid
Eden Hazard would become Real Madrid's most expensive signing - but would still be cheaper than Philippe Coutinho

Fifa ban ya miaka miwili

HUONI LITIMU LAKO NDIO MAVIMAVI ?

'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba
Hehee.. Akili fupi ngoja nikwambie wewe. Tumefungiwa vipindi viwili vya usajili na siyo miaka miwili ndorobo wewe.

Kuhusu Hazard kwenda Madrid siyo jambo geni mdogo wangu. Walikuwepo wakali wakastaafu na wengine kuondoka na bado tukaendelea kuwapumulia.

Wachezaji wangu waliopo kwa mkopo wanaizidi Ass anal yote. So tulia dawa ikuingie. Najua hukupenda kusikia ivyo ila ndio ukweli huo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hehee.. Akili fupi ngoja nikwambie wewe. Tumefungiwa vipindi viwili vya usajili na siyo miaka miwili ndorobo wewe.

Kuhusu Hazard kwenda Madrid siyo jambo geni mdogo wangu. Walikuwepo wakali wakastaafu na wengine kuondoka na bado tukaendelea kuwapumulia.

Wachezaji wangu waliopo kwa mkopo wanaizidi Ass anal yote. So tulia dawa ikuingie. Najua hukupenda kusikia ivyo ila ndio ukweli huo

Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona unaongea huku unalia, nyamaza kwanza

Msimu huu lazima cheltako tuwapeleke Futuhi,



'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba
 
Kwan Everton wewe si alikubaka cheltako 2-0?

Mm nakwambia msimu huu nafas ya 5-6 ni haki yako ,unabisha

Kwanza Leo kwa westham upambane ,maana liver anaenda kukubaka, then mnaenda kuuana na mwenzako manyumbu,



'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba
Kwa sisi tunaoujua mpira huwa hatuna kauli mbovu mbovu kama zako. Nina maneno machache kuhusu game ya leo.

Game ya leo ni ngumu na ni muhimu sana kwetu kwa hiyo timu itapambana kuhakikisha inapata point kuweza kujiweka sawa katika kuwania top four.

If you know, you know!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa sisi tunaoujua mpira huwa hatuna kauli mbovu mbovu kama zako. Nina maneno machache kuhusu game ya leo.

Game ya leo ni ngumu na ni muhimu sana kwetu kwa hiyo timu itapambana kuhakikisha inapata point kuweza kujiweka sawa katika kuwania top four.

If you know, you know!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Hebu nyamaza kwanza, ukimaliza kulia njoo hapa tujadili,

'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba
 
Back
Top Bottom