21 February
JF-Expert Member
- May 19, 2017
- 3,299
- 2,843
Haaahaa jamaa anachonga sana leo kakalishwa kawa mdogo kama piritonEverton wamenisaidia kuukata huo mdomo wako mrefu mkuu.š
Haaahaa jamaa anachonga sana leo kakalishwa kawa mdogo kama piritonEverton wamenisaidia kuukata huo mdomo wako mrefu mkuu.š
Huyu bwana kwenye thread yetu hatupumui.
Huwezi amini zile replies 107k katika thread yetu nusu ni za AROON
HahahahahahahahahNext stop (away matches)
Watford
Wolves
Burnley
Lazima game mbili au zote mdondoshe points hapa
Wazee wa sita bora
Sent using Jamii Forums mobile app
Huenda hujaangalia vizuri ulichoandika.Natamani ungejua nilichokiandika kabla hujadandia hoja
Hapo kwa Wolves tia tick tayari washapotezaNext stop (away matches)
Watford
Wolves
Burnley
Lazima game mbili au zote mdondoshe points hapa
Wazee wa sita bora
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamaa anakeraga huyu... Mda wote yupo kule kwetu ila leo kakimbia kabisaHuyu bwana kwenye thread yetu hatupumui.
Huwezi amini zile replies 107k katika thread yetu nusu ni za AROON
Hapo kwa Wolves tia tick tayari washapoteza
Jamaa anakeraga huyu... Mda wote yupo kule kwetu ila leo kakimbia kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Everton vs Arsenal
Score: 1 - 3
Pierre liquid (hat trick) 92' 93' 94'
Min: 90+5
Match over!!
Sent using Brain






Kwisha habari yao
Mimi nina wasiwssi sana na Palace, naona hapo napo watadondosha point.Next stop (away matches)
Watford
Wolves
Burnley
Lazima game mbili au zote mdondoshe points hapa
Wazee wa sita bora
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo haonekani tena mpaka siku ya game yetu na Barca. Atakuja kutufanyia fujo huyu hutoamini kama alifungwa na Everton.
Ozil siku hiz anajitahid, kwa Leo usimlaumu, kukosekana kwa solid midfield imetugharimu,
Xhaka ,LT11, hawapo, ikabid waanze Matteo na neny ,ambao hawakabi Bali wanakaa na mipira , na neny sio mnyumbulifu kupeleka mipira mbele ili kina ozil waconvert,
Nadhan katika game zilizokuwa zimebak ,hii na ya wolves ndio zilikuwa game ngumu,
'When youāve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.ā David Alaba
Nirudie, nimeandika kuwa, wakati Digne anarusha mpira uliozaa goli mguu mmoja ulikuwa ndani ya uwanjani meaning ulivuka mstari(touchline). kama unajua sheria za mpira utajua ninakiandika