Pole Malaria Sugu! na Wacha1 acheni mchezo mbaya hahahahahahaah
Siku nikimuona huko huyo niliem bold, ndio itakuwa mwisho wangu ku-sign in JF......
ok ngoma imeisha 1-1 life moves on pointi 1 ugenini against top 6 sio mbaya kumbuka hatukucheza na West Brom bali Liverpool, we're going back to London happy:becky:
Joe Cole hakuonewa it was a right red card for reckless challenge lakini kama utaangalia kipindi cha 2, refarii alikuwa anawabeba zaidi Liverpool, mfano Rosicky alionyeshwa yellow card wakati Gerrard ndio alifanya faulu na alistahili yellow ya 2 na kutolewa nje, Refarii alikuwa upande wa timu ya nyumbani mkuu.Yeah mkiwa 12 zidi ya 9 Liverpool! fikiria walau wangekuwa 11
Kuna nyepesi nyepesi kwamba Schwarzer kesho atakuwa Emirates kujadiliana terms na atakuwa golini au walau kwenye benchi mechi ijayo dhidi ya Blackpool, finger crossed!
Mkuu haya matatizo yote toka msimu uliopita lakini bado mzee wenger anaendelea ku-entertain tu.Wenge Musica,
Huyu Diaby ni mchoyo, yeye ni kadenge na mpira na kawapotezea nafasi nyingi mno. Vipi tea AlMuntazir kukwepa nduki la Nyanya Ngogwe?
man utd kishawafunga lverpool na arsenal akiwa na wachezaji pungufu uwanjani,yani man utd wachezaji 10,liva na arsenal wachezaji 11,ulaya kwa timu kubwa sio sababu au kisingizio hata kama ulikuwa pungufu ukafungwa.Yeah mkiwa 12 zidi ya 9 Liverpool! fikiria walau wangekuwa 11
Wenger kuhusu swala la kipa hayuko serious kabisa.huyu almunia ni bomu sana.
Mkuu tafuteni Kipa ligi iwe na Mvuto! Sipendi tuchgukue Points 6 kwenu tena...Mark na Shay wako huru. Golikipa is the weak link hapo Emirates
Chukueni Shay Given huyo Schwazer walewale
Arsenal's Samir Nasri faces one month out after surgery
BBC Sport
Bundi keshaanza mapema kabisa!