Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Heheheh kesho tutasikia baadhi ya watu wanatangaza ubingwa. Naona mshafunga magoli ya mechi zenu tatu zijazo.

Unatutangazia wewe au?...ngoja tununuwe beki, mtaona...........
Full time
Arsenal 6 - 0 Blackpool
 
Hey Ba'Mkubwa, kweli mkuu angalau leo mna:smile-big:..Walcott kafunga??mana sikuangalia hiyo mechi!!
Utupe na matokeo ya Chelski..enjoy the game!!

Chelsea wanaongoza kwa goli 1..........
yahoo::GOAL! CHELSEA TAKE THE LEAD THROUGH MALOUDA! Cole breaks foward before pulling back to Lampard, whose stab at goal is brilliantly saved by Kirkland! But he can only parry out towards Malouda, who reacts way ahead of the dozing Fugueroa to slot home into an empty net!:::
 
Wenge Musika, Kwasa Wacha hongereni kwa sita zenum nasi tuna sita zetu kutoka kwa Mbwigans!
 
Chelsea wanaongoza kwa goli 1..........
yahoo::GOAL! CHELSEA TAKE THE LEAD THROUGH MALOUDA! Cole breaks foward before pulling back to Lampard, whose stab at goal is brilliantly saved by Kirkland! But he can only parry out towards Malouda, who reacts way ahead of the dozing Fugueroa to slot home into an empty net!:::

Aisee,nao leo tena 6-0!!..wanawaonea Wigan,lol..thanx for updates



hatujashangilia mama mbona unatuchokoza? lol blackpool hawa wadogo zake liverpool lool hatuwezi kushangilia.

Usiniambie mlitegemea ushindi,ha ha..poor blackpool


kafunga goli 3 leo anaenda kulala na viatu vyake na mpira aliopewa anafanya mto.

Awwww!nitalala vizuri pia, yani yeye ni sababu napenda kuangalia mechi za Arsenal..good job!!
 
Aisee,nao leo tena 6-0!!..wanawaonea Wigan,lol..thanx for updates





Usiniambie mlitegemea ushindi,ha ha..poor blackpool




Awwww!nitalala vizuri pia, yani yeye ni sababu napenda kuangalia mechi za Arsenal..good job!!


Walikuwa 12 zidi ya 9 blackpool kusiwe na kelele!
 
Aisee,nao leo tena 6-0!!..wanawaonea Wigan,lol..thanx for updates

Usiniambie mlitegemea ushindi,ha ha..poor blackpool

Awwww!nitalala vizuri pia, yani yeye ni sababu napenda kuangalia mechi za Arsenal..good job!!
Walikuwa 12 zidi ya 9 blackpool kusiwe na kelele!

...haya basi, arrrgghh.
Ushakuwa mchezo wa kitoto; "Tukiwafunga tumewaonea, tukiwaacha tunawaogopa!"

Eti wendhetu, neno 'kupiga/kupigwa' chenga kwa kidhungu maana yake nini?
BJ, leo MAN U mnaambulia sare kwa FULHAM,...
Ooopssss...
 
...haya basi, arrrgghh.
Ushakuwa mchezo wa kitoto; "Tukiwafunga tumewaonea, tukiwaacha tunawaogopa!"

Eti wendhetu, neno 'kupiga/kupigwa' chenga kwa kidhungu maana yake nini?
BJ, leo MAN U mnaambulia sare kwa FULHAM,...
Ooopssss...
Piga chenga=dribble
 
...haya basi, arrrgghh.
Ushakuwa mchezo wa kitoto; "Tukiwafunga tumewaonea, tukiwaacha tunawaogopa!"

Eti wendhetu, neno 'kupiga/kupigwa' chenga kwa kidhungu maana yake nini?
BJ, leo MAN U mnaambulia sare kwa FULHAM,...
Ooopssss...

Mkuu utabiri wako kiboko sisi tunawasubiri mechi ya mwisho wa PL tutakumbana nao, kama kawa ni wateja wetu.
 
lol .naona man united wamepewa draw.fulham wabishi wale.

Nilipoona anaingia Augustine Lyatonga Mrema sorry I mean Michael Owen nikajua hawa leo ni draw ama kichapo! Ni sawa niliokuwa nikimuona Sol Campbell Arsenal! LOL
 
Arsenal jana imekubali dau la paundi milioni 4 za Uingereza kumsajili beki wa timu ya Sevilla ya Spain Sebastiene Squillaci. Usiku wa jana mchezaji huyo mzoefu alikuwa amekwishawasili jijini London kwa ajili ya uchunguzi wa afya yake kabla hundi ya fwedha haijatolewa, na akifaulu medical hiyo atakamilisha kusaini makaratasi ndani ya masaa 48.

Mchezaji huyo anachukua nafasi ya William Gallas ambae amejiunga na watani wa jadi Tottenham HotSpurs ambayo ina makazi yake kaskazini mashariki ya jiji la London, Arsenal wapo kaskazini magharibi.


93246309.jpg


Sebastiene Squillaci.

Inatarajiwa beki ya kati ya kwanza ya Arsenal itakuwa na Sebastiene na Thomas Vermaelen, na wasaidizi au "backup" watakuwa Johan Djorou na Laurent Koscenlny.
 
Back
Top Bottom