AdvocateFi
JF-Expert Member
- Jan 15, 2012
- 11,492
- 5,049
Tuangalie mbele, haya mapito tu ya muda mfupi,
Bado namuamini kocha ,
Sent using Jamii Forums mobile app
Hadi muende nafasi ya 10 ndo mtaelewa somo, sahivi mtaanza kupambania nafasi ya 6 na Wolves na Leceister.
Ila nawashauri komaeni na Carabao Cup maana ndo kiwafaacho.
