ARSENAL IS BY FAR THE GREATEST TEAM THE WORLD HAS EVER SEEN!!!!!!!!!!!
I was born to be an arsenal fan. i dont care about any other football team apart harambee stars. all other football teams can go to hell for all i care(nothing personal)
I AM A GUNNER!!!!
...together we stand, tunataka mashabiki kama wewe humu.
e bana weeee, ha ha ha...!
jitahidi uwe nasi mpaka may mwakani!...
Kwakweli mimi sifahamu ila mara ya mwisho nilimuona yupo kwenye kambi ya Bilal kama si a Shein, na safari hii anaweza akawa M-Arsenal maana dalili zinaonesha hivyo...mkuu Belo karibu sana Gunners....hebu tuwasubilie akina mbu, balantanda, arsene wenger, kweli,peasant, BAK, wacha, nomasana, nk wanaweza wakawa na jibu kuhusu masaniloWakubwa samahani kidogo ,MASANILO anagombea jimbo gani?
Hawa ndio wale kina OmondiARSENAL IS BY FAR THE GREATEST TEAM THE WORLD HAS EVER SEEN!!!!!!!!!!!
I was born to be an arsenal fan. i dont care about any other football team apart harambee stars. all other football teams can go to hell for all i care(nothing personal)
I AM A GUNNER!!!!
Kwakweli mimi sifahamu ila mara ya mwisho nilimuona yupo kwenye kambi ya Bilal kama si a Shein, na safari hii anaweza akawa M-Arsenal maana dalili zinaonesha hivyo...mkuu Belo karibu sana Gunners....hebu tuwasubilie akina mbu, balantanda, arsene wenger, kweli,peasant, BAK, wacha, nomasana, nk wanaweza wakawa na jibu kuhusu masanilo
Kwa nini Belo? kisa ana machungu na Gunners? Jee na wewe tuseme ndio akina Prem Chopra? kwa maana manazi wenu wakubwa ndio akina Sunjit Singh.Hawa ndio wale kina Omondi
kuanzia sas wewe ni[ safi sana] tupo pamoja mkuu. Naomba majina ya wana jf woote ambao ni the guners.yeyote anaweza kunipostia kwa kuanzia na mimi.na je mark swarzer je kasajiliwa?arsenal is by far the greatest team the world has ever seen!!!!!!!!!!!
i was born to be an arsenal fan. I dont care about any other football team apart harambee stars. All other football teams can go to hell for all i care(nothing personal)
i am a gunner!!!!
...hehehehe....mnaanza sasa, mzee wa mapicha Wacha1 akirudi likizo hapatakalika hapa!
:nono::nono::nono:
ARSENAL IS BY FAR THE GREATEST TEAM THE WORLD HAS EVER SEEN!!!!!!!!!!!
I was born to be an arsenal fan. i dont care about any other football team apart harambee stars. all other football teams can go to hell for all i care(nothing personal)
I AM A GUNNER!!!!
Tupo pamoja, Bala, Babamkubwa, Wacha, AW na gunners wote, muda bado upo ila naona kule kwa akina Belo wamefulia kimtindo, Glaziers wanafuta madeni na babu AF ameshakubali matokeo, na huku jirani kwa akina Masanilo na Peasant naona nako Mrusi Credit crunch imemkamata pabaya, naona itabidi wabaki kutegemea pensioners wao akina Drogba, Anelka na Kalou. Mzee mwenzangu MTM naona wameshajikubalia nafasi yao ni Europa league, So far kama Fabregas atabaki tunahitaji kipa wa nguvu kumaliza jig-saw, nina mategemeo makubwa mwaka huu.
Soka la miguvu lishapitwa na wakati ndio maana hata kwenye World cup mwaka huu kina England, France, Italy walipata vichapo vya haja huku Spain, Uruguay, Germany na Holland zikipita maana wanacheza kwa mbinu na akili sio miguvu. Man U na Chelsea mwaka huu hamuambulii kitu subiri uone moto wa the Gunners vijana wa kugusa na kuteleza
Bado una-pape tu? Majuto mjukuu usikimbie tu. Khe khe khe khe ... .... ngoma itaanza karibuni.
Wapenzi wote wa Gunners mwaka huu muarobaini umekwisha andaliwa na wataunywa tu wapende wasipende first stop Kwa Loserfools .... .... ....., mwaka jana walikuwa na bahati ya mtende mwaka huu mtende umeondolewa.
Habari zimetinga kama kawaida vijana wako kwenye mazoezi Austria kujiandaa kwa Emirates Cup then Premier league kama kawa. Mwaka huu wapinzani wakubwa watakuwa citeh kwa sababu kubwa moja Manure wana ugomvi mkubwa na cowboys, wameshindwa kuuza tiketi kwa wanachama wao. Chelsick hawajui washike wapi vikongwe wanaendela kuzeeka khe khe khe khe .................wengine wanaikimbia timu wamekung'utwa bao tatu kwa moja kwenye mazoezi Loserfools hawana ubavu ati wamemnyakua kocha kutoka Cottagers maajabu ya Musa hayo.
Mkuu tupo pamoja japo nilipata ajali mbaya sana mwezi wa tano,ndo nimerudi naendeleza matibabu.
Hahahahaha msiba mwingine huu, angalia usijinyonge kama Omondi maana ndio zenu Gunners wa Nairobi.
Same old Arsenal song "Mwaka Huu Watatukoma Ubingwa Wetu Emirates"......"Mwaka Huu Wetu" my foot!! Another trophy-less season on making..lol :doh::doh::doh::doh:
yeah spoken like a johnny come lately fan.
watu wa chelsea kazi yao ni mdomo tupu. LET THE NUMBERS DO THE TALKING.
ARSENAL
View attachment 11940Premier League winners: 1998, 2002, 2004
Runners-up: 1999, 2000, 2001,2003, 2005
Division One winners: 1931, 1933, 1934, 1935, 1938, 1948, 1953, 1971, 1989, 1991
Runners-up: 1926, 1932, 1973
Division Two runners-up: 1904
FA Cup winners: 1930, 1936, 1950, 1971, 1979, 1993, 1998, 2002, 2003, 2005
Runners-up: 1927, 1932, 1952, 1972, 1978, 1980, 2001
League Cup winners: 1987, 1993
Runners-up: 1968, 1969, 1988, 2007
Champions League runners-up: 2006
European Cup-winners Cup winners: 1994
Runners-up: 1980, 1995
Inter-Cities Fairs Cup winners: 1970
UEFA Cup runners-up: 2000
UEFA Super Cup runners-up: 1994
VICTORIA CONCORDIA CRECIST = VICTORY(or should i sayVICTORIES) THROUGH HARMONY
chelsea
Premier League winners: 2005, 2006, 2010
Division One winners: 1955
Division Two winners: 1984, 1989
Runners-up: 1907, 1912, 1930, 1963, 1977
FA Cup winners: 1970, 1997, 2000, 2007, 2009, 2010
Runners-up: 1915, 1967, 1994
League Cup winners: 1965, 1998, 2005
Runners-up: 1972, 2008
European Cup-winners Cup winners: 1971, 1998
European Super Cup winners: 1998
European Cup runners-up: 2008
by the time chelsea win as many trophies as arsenal you peasant will be dead.
dont forget the fact that ARSENAL is the only team in premiership history to go 49 games without losing a single game. That is something chelsea have not and will NEVER accomplish.
listen johnny come lately Peasant, you can run your mouth all day about how great chelsea is but the numbers will NEVER EVER LIE!!!!
Mkuu mbona unamvua nguo hata kabla ya kitale kuanza? Muone huruma tu huyu Abraham o vich akiondoka ndio kwishney. khe khe khe kwi kwi kwi kwi ..... ...... ......
LOOOOL!!!!!
Wacha1, wewe una vichekesho kibao!!!!!
we gotta put these SO CALLED chelsea fans into their place. peasant doesnt understand that you can be a great club without having a sugar daddy buy the trophies for you
like man utd:smile::wave:
Sasa Man Utd hapa imeingia vipi?