Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

EMIRATES CUP 2010

gun__1280300859_chamakh_neusiedl.jpg

Marouane Chamakh

Arsenal 1-0 AC Milan


Emirates Cup
Saturday, July 31, 2010, 16:20

Wamerudisha...............................mkuu, vipi unasemaje hapo!
 
Wamerudisha...............................mkuu, vipi unasemaje hapo!

...ha h haaa,...nilidhani peke yangu nafuatilia.
Pouwa,...sie ni mabingwa watetezi,...tukilipoteza hili pia mnh...
 
Hii timu bana haiishi vituko, naona jezi mpya zinavaliwa na sidiria..Bwe he he he..
 
Vipi mkuu lete habari? Naona Cach Cole anabwaga manyanga jamaa wanabaki na muuza unga akishirikiana na mwizi.
Mkuu Wacha1, za siku....vipi utakuwepo 15.08.2010, two weeks to come? Itabidihapa tuwepo tuone jinsi gani Livrpool wanavyofungwa
 
Mkuu Wacha1, za siku....vipi utakuwepo 15.08.2010, two weeks to come? Itabidihapa tuwepo tuone jinsi gani Livrpool wanavyofungwa

Nitakuwepo Live mkuu. Loserfools wana bonge la challenge City wanataka kumnyakua Torres wiki hii wanaandaa £50 million sijui kama wanaweza ku-afford kuachia huo mpunga.
 
game nzuri sana . No way huyu Wilshere kwenda on loan tena,dogo yuko ready Wenger tu ambanie kama kawaida yake.
 
game nzuri sana . No way huyu Wilshere kwenda on loan tena,dogo yuko ready Wenger tu ambanie kama kawaida yake.
Atatusaidia sana ila sifikirii kama gaffer atampa gemu za kutosha, ukizingatia Fabregas bado tunae na Ramsey atarudi pia yupo Denilson.
Jee kuna habari gani kuhusu Kipa? Kama hatutosajili kipa kwa kweli nitakasirika sana:yell: Almunia ametu-cost pointi nyingi tu msimu ulopita.
Anyway mpira wa leo mzuri ila tatizo letu bado palepale possesion nyingi lakini magoli kidogo, tuone Chamak ameingia labda ataongeza bao, Sagna naona amesherehekea bao mfano amescore katika World cup:smilez:
 
Back
Top Bottom