rikiboy
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 22,165
- 43,854




Mkuu nadhani kufungwa Goli 5 ni zaidi ya kudhalilishwaaa... huyu anamalizia tu kuwadhalilisha....Uwe na heshima unapotutolea matusi as if tumekutukana haipendezi.Halafu suala la kufungwa siyo kitu kigeni sana kwani hakuna timu ambayo haijafungwa.Unatuita mbwa, unatuita mbuzi hivi ni wapi umeona tumekutukana au kukutolea lugha chafu hadi uamue kufanya hivyo kama kutulipizia.
Kwa ufupi binafsi umenikera ila siwezi kukujibu kiudhalilishaji kama unavyotudhalilisha mashabiki wa arsenal. Timu ya liverpool imepitia wakati mgumu sana huko nyuma nafasi ya sita nk lakini hamkutukanwa.
Ifikie hatua jukwaa liheshimiwe hata kama unajua huwezi kufanywa chochote kwa matusi hayo.
Sent using Jamii Forums mobile app





Sent using Jamii Forums mobile app