Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

So apparently, just like with Fellaini's hairpull on Guendouzi, because the referee dealt with it the FA won't take retrospective action.

This is wrong, both incidents are deemed "dangerous conduct" and not only can be dealt with by the FA afterwards, but absolutely SHOULD be.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumbe na Nyinyi Washabiki Wa Arsenal Wanayo Haya??

Tukisema sisi kule juu Useless players kama hawa unajifanya kuleta Unafiki.

Sasa Mtag Malafyale muje musaidiane kuwashambulia hao Washabiki wasiwaponde Wachezaji Wa Arsenal.

Wewe na Ollachuga Oc Hamudefiniki!!

Wao kule daily Wanamkataa Willian na Alonso wanasema hawafai Ni Wa Kuondoka Chelsea!!

Lakini akija kwenye Uzi wetu anatukosoa sisi tunaosema Hendoshoga hafai!!
Unafiki mwengine bhana!!!
Alonso na Willian Nina hakika wakija apo Looserpool first XI itawahusu.

Alonso atamweka nje Gomez au Robertson

Willian atamweka nje Firmino, ikiwezekana hata Mane.

Hawa ni players wanaocheza fisrt XI kwnye timu yeyote ile..

Sio kwamba hatuwataki ila tungekuwa na front line nzur kama ya Looserpool basi wangetakata sana.

Kinachowabeba ninyi mna ukuta imara na front nzuri lakini apo kati pa kawaida sana...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
So apparently, just like with Fellaini's hairpull on Guendouzi, because the referee dealt with it the FA won't take retrospective action.

This is wrong, both incidents are deemed "dangerous conduct" and not only can be dealt with by the FA afterwards, but absolutely SHOULD be.

Sent using Jamii Forums mobile app
Naona ban yako imeisha karibu tena

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Alonso na Willian Nina hakika wakija apo Looserpool first XI itawahusu.

Alonso atamweka nje Gomez au Robertson

Willian atamweka nje Firmino, ikiwezekana hata Mane.

Hawa ni players wanaocheza fisrt XI kwnye timu yeyote ile..

Sio kwamba hatuwataki ila tungekuwa na front line nzur kama ya Looserpool basi wangetakata sana.

Kinachowabeba ninyi mna ukuta imara na front nzuri lakini apo kati pa kawaida sana...

Sent using Jamii Forums mobile app
Sio kinachotubeba ww
Wale ni wachezaji wa LFC so lzm wafanye wajibu wao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naona ban yako imeisha karibu tena

Sent using Jamii Forums mobile app
Mm nipo daily, toka juz nilisema ashukuriwe mike oliver

FB_IMG_1546178949931.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Alonso na Willian Nina hakika wakija apo Looserpool first XI itawahusu.

Alonso atamweka nje Gomez au Robertson

Willian atamweka nje Firmino, ikiwezekana hata Mane.

Hawa ni players wanaocheza fisrt XI kwnye timu yeyote ile..

Sio kwamba hatuwataki ila tungekuwa na front line nzur kama ya Looserpool basi wangetakata sana.

Kinachowabeba ninyi mna ukuta imara na front nzuri lakini apo kati pa kawaida sana...

Sent using Jamii Forums mobile app

We kichwa maji kweli! Hao wakina william wanacheza nn huko mbona mnachechemea?

Chelshit bhana
 
CHELSEA ni shangwe kila daily mkuu.

Kama tulivyofungua njia kwa Man city..

Ndivyo tutakavyo fungua na kwa Liverpool ..

Sisi ndo mwanzo wa kupoteana kwa City.

Vivyo hivyo na Liverpool itakavyokuwa.

Sent using Jamii Forums mobile app

Siku hizi hata kushinda goli 2 tabu. Jiandae hapo maana Arsenal yupo nyuma yenu anawalia timing tu bila kusahau Man U
 
Mm nipo daily, toka juz nilisema ashukuriwe mike oliver

View attachment 982062

Sent using Jamii Forums mobile app

Naona Sasa Nawewe umekuwa Mzee Wa Historia

Si mulikuwa mulikuwa Munatuita sisi Ni wapenda historia?
Sasa unachofanya wewe Ni Nini hapa? 😀😀

Basi ngoja tujikumbushe historia hapa!

28 Oct 1893
Arsenal0 - 5 LiverpoolLeague

09 Feb 1907
Liverpool 4 - 0 ArsenalLeague

15 Feb 1908
Liverpool 4 - 1 ArsenalLeague

01 Jan 1910
Liverpool 5 - 1 ArsenalLeague

30 Dec 1911
Liverpool 4 - 1 ArsenalLeague

01 Feb 1913
Arsenal 1 - 4 Liverpool FA Cup

25 Feb 1922
Liverpool 4 - 0 ArsenalLeague

26 Aug 1922
Liverpool 5 - 2ArsenalLeague

17 Jan 1923
Arsenal 1 - 4 Liverpool FA Cup

23 Nov 1946
Liverpool 4 - 2 ArsenalLeague

18 Apr 1964
Liverpool 5 - 0 ArsenalLeague

11 Dec 1965
Liverpool 4 - 2 ArsenalLeague

1996 Wed 27 Nov
Liverpool 4 - 2 ArsenalLeague Cup

1998Wed 06 May
Liverpool 4 - 0 ArsenalLeague

2000 Sat 23 Dec
Liverpool 4 - 0 ArsenalLeague

2007Sat 31 Mar
Liverpool 4 - 1 ArsenalLeague

2008Tue 08 Apr
Liverpool 4 - 2 Arsenal Chmp.Lge.

2014 Sat 08 Feb
Liverpool 5 - 1 ArsenalLeague

2016Sun 14 Aug
Arsenal3 - 4 Liverpool League

2017Sun 27 Aug
Liverpool 4 - 0 ArsenalLeague

2018Sat 29 Dec
Liverpool 5 - 1 ArsenalLeague


Sasa hapo utafanya Evaluation mwenyewe ujue Ni Nani aliyechezea Vipigo Vikubwa Vingi zaidi.

Najua wewe umeshatufunga 8 na 6 wakati sisi hatujawahi kukufunga hizo!

Lakini kwa ujumla hizi 4 na 5 kukufunga tumeshakuzoea Mara nyingi zaidi.

Hata hivyo usijifariji kwa Matokeo ya Enzi za Ukoloni bali umia na vipigo vitakatifu vya miaka hii tuliyopo.
 
Heri ya mwaka mpya 2019 kwenu mashabiki wenzangu wa Arsenal,Mungu awabariki sana katika mishe zenu awape afya njema na kila lililo jema....
Hii thread ni sehemu yangu pia nakutana na marafiki wapya ingawa hatufahamini ila tunaishi poa,mbarikiwe.
 
Naona Sasa Nawewe umekuwa Mzee Wa Historia

Si mulikuwa mulikuwa Munatuita sisi Ni wapenda historia?
Sasa unachofanya wewe Ni Nini hapa? 😀😀

Basi ngoja tujikumbushe historia hapa!

28 Oct 1893
Arsenal0 - 5 LiverpoolLeague

09 Feb 1907
Liverpool 4 - 0 ArsenalLeague

15 Feb 1908
Liverpool 4 - 1 ArsenalLeague

01 Jan 1910
Liverpool 5 - 1 ArsenalLeague

30 Dec 1911
Liverpool 4 - 1 ArsenalLeague

01 Feb 1913
Arsenal 1 - 4 Liverpool FA Cup

25 Feb 1922
Liverpool 4 - 0 ArsenalLeague

26 Aug 1922
Liverpool 5 - 2ArsenalLeague

17 Jan 1923
Arsenal 1 - 4 Liverpool FA Cup

23 Nov 1946
Liverpool 4 - 2 ArsenalLeague

18 Apr 1964
Liverpool 5 - 0 ArsenalLeague

11 Dec 1965
Liverpool 4 - 2 ArsenalLeague

1996 Wed 27 Nov
Liverpool 4 - 2 ArsenalLeague Cup

1998Wed 06 May
Liverpool 4 - 0 ArsenalLeague

2000 Sat 23 Dec
Liverpool 4 - 0 ArsenalLeague

2007Sat 31 Mar
Liverpool 4 - 1 ArsenalLeague

2008Tue 08 Apr
Liverpool 4 - 2 Arsenal Chmp.Lge.

2014 Sat 08 Feb
Liverpool 5 - 1 ArsenalLeague

2016Sun 14 Aug
Arsenal3 - 4 Liverpool League

2017Sun 27 Aug
Liverpool 4 - 0 ArsenalLeague

2018Sat 29 Dec
Liverpool 5 - 1 ArsenalLeague


Sasa hapo utafanya Evaluation mwenyewe ujue Ni Nani aliyechezea Vipigo Vikubwa Vingi zaidi.

Najua wewe umeshatufunga 8 na 6 wakati sisi hatujawahi kukufunga hizo!

Lakini kwa ujumla hizi 4 na 5 kukufunga tumeshakuzoea Mara nyingi zaidi.

Hata hivyo usijifariji kwa Matokeo ya Enzi za Ukoloni bali umia na vipigo vitakatifu vya miaka hii tuliyopo.
Wewe ulipigwa 6 mwaka 2007 hapo anfield

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom