fadtanji
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 768
- 999


WATAPATA TABU SANAAAhilo linafahamika na halina ubishi sehemu ya ulinzi ni mwiba mchungu kwetu ila tunaendelea kupambanaGame litatulia tunaweza kuambulia angalau sare.
Ila safu ya ulinzi ya Arsenal bado sana, tuwe wakweli.
acha papara game bado mbichi
Sure ile Mechi yetu tulipambana 1-1 mpaka dakika ya 67 alivyoingia Shaqiri akaharibu mchezo. Hawa wameongozwa toka dakika ya 12Emery ana bahatisha, I guess he is frustrating players, ni wazi hajui anachokitaka na anachokifanya

Umesema kweli kabisa. Si mwelewi kabisaEmery ana bahatisha, I guess he is frustrating players, ni wazi hajui anachokitaka na anachokifanya
Ukirudisha nakupa hata nyumba. First half ushakula nne. Na bado kipindi cha pili ule sabaacha papara game bado mbichi
Leicteiner na Mustafi naona wanatukanana hapaWATAPATA TABU SANAAA
Sent using Jamii Forums mobile app