Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Nazan tutaelewana tu taratibu taratibu
Screenshot_20181222-182331.jpg
 
Niliona lacazete akilalamika alipofika nje baada ya sub.

Shida ilikua nn?

Tangu October Lacazette hajafunga magoli hivyo anahisi anahitaji kufunga magoli zaidi.

Hivyo leo alihisi alikuwa na nafasi ya kufunga magoli zaidi na akatolewa zikiwa zimebakia dakika 12.
 
Kweli hapo Emery anakosea sana

Kwa wachua vikombe wote siku zote straiker lazima kuheshimiwa.
Tangu October Lacazette hajafunga magoli hivyo anahisi anahitaji kufunga magoli zaidi.

Hivyo leo alihisi alikuwa na nafasi ya kufunga magoli zaidi na akatolewa zikiwa zimebakia dakika 12.
 
Mechi mbili zinazofuata za Arsenal zote ni ugenini

Tunaanza na boxing day tunakwenda Brighton halafu baada ya hapo tarehe 29 basi la Arsenal litaelekea Liverpool kwenye mechi ambayo twaweza kusema itaamua Arsenal kama itakaa kwenye top 4 au vingine.

Ni mechi mbili za ugenini ambazo ni muhimu sana.
Ingefaa zaidi kama mñgepigwa na Brighton halafu mumkalishe Liverpool

Apo mngetisha sana.
 
Niliona lacazete akilalamika alipofika nje baada ya sub.

Shida ilikua nn?
Anaisi hastail kutolewa sub hasa ukiangalia yeye ni namba tisa na anaitaj kushinda
Game nying lacazette anaanzia sub au hamalizi akianza
Lakin ni jambo dogo coz lacazette huwa anamsaada mkubwa sana ata unai analijua hilo, na pia tuna game ngumu uko mbele ndio maana anajaribu kumlinda kutokana na majerui
 
Sio mimi nasema mkuu

Fatilia habar za timu utajionea
Zimezuka sana, ila emery kasema hamuuzi, na ozil kasema haondoki,

Na kiwango alichoonesha leo, nadhan mawazo hayo yakuuzwa yatapotelea mbali

Rabiot alishafanya mazungumzo awali na barca, ndio maana huon timu zikimshobokea tema, na tayar PSG wamesha confirm hawatakuwa naye.
 
Bila Aubameyang Arsenal tungekuwa chini sana huyu jamaa ametusaidia sana.

Pia Saed Kolasinac nae kurudi kwake kumesaidia sana kupika mashambulizi ule upande wa kushoto.
Kila mchezaji ana msaada. Kila mechi kuna asst na goal score so how can you ignore the whole team and upgrade one player.
 
Chelsea keshatahiriwa, man city kakatwa govi bila ganzi man United yuko mlangoni ameambiwa asubiri doctor arudi anakunywa chai.
Hii ndiyo ligi ya premier lazima tuelewane tu. Last week and this week btn mmetucheka sana.
Na leo natoa utabiri wangu mpya ndani ya top 4 toten na chelsea hawatakuwemo ila nina mashaka jini linaweza kuingia top 4.Ni mawazo yangu.
 
Back
Top Bottom