Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kuna Watu mnajifanya mjua mpira hasa. Leo una uwezo wa kukosoa sub za Manager Unai!!!!

Fikra huru ni kitu muhimu kila mwenye utimamu kua nacho ndio maana kuna watu hawamuelewi Ozil kabisa na sina sababu ya kuwapinga ni fikra huru,Iwobi anatuchelewesha sana hata leo amefanya madudu kama kawaida ila bahati upande wake ametufungia goli ila kumtoa Lacz alafu aingie Iwobi ni kamari ya Unai.
Naheshimu mtazamo wako pia.
 
Return of Ozila!

1545489657961.png

Pass master.
 
Mechi mbili zinazofuata za Arsenal zote ni ugenini

Tunaanza na boxing day tunakwenda Brighton halafu baada ya hapo tarehe 29 basi la Arsenal litaelekea Liverpool kwenye mechi ambayo twaweza kusema itaamua Arsenal kama itakaa kwenye top 4 au vingine.

Ni mechi mbili za ugenini ambazo ni muhimu sana.
 
Laca leo kamaindi kupigwa sub, but ni hali ya ubinadamu, inabidi akubaliane na maamuzi ya kocha

laccazete aliwah kusema kuwa moja kati kitu alichoifunza kwenye hii ligi ni kuwa mabeki wanachoka sana inapofika dakika 10 za mwisho! Nadhan kwenye akili yake huwa anawavizia sana mabeki mwishoni kma alivyowafanya Liverpool ile
 
Laca leo kamaindi kupigwa sub, but ni hali ya ubinadamu, inabidi akubaliane na maamuzi ya kocha

laccazete aliwah kusema kuwa moja kati kitu alichoifunza kwenye hii ligi ni kuwa mabeki wanachoka sana inapofika dakika 10 za mwisho! Nadhan kwenye akili yake huwa anawavizia sana mabeki mwishoni kma alivyowafanya Liverpool ile

Ila sio siri Arsenal wanahitaji mabeki mshahara angalau wawili mwezi ujao.
 
aubameyang
2 goals from 2 attempts v Burnley
12 PL goals from 19 shots on target in 2018-19
Overtaken Mo Salah (11) as PL top scorer this season Sky Sports Statto on Twitter

Bila Aubameyang Arsenal tungekuwa chini sana huyu jamaa ametusaidia sana.

Pia Saed Kolasinac nae kurudi kwake kumesaidia sana kupika mashambulizi ule upande wa kushoto.
 
Ila sio siri Arsenal wanahitaji mabeki mshahara angalau wawili mwezi ujao.
Hilo linajulikana , tarajia mpaka summer usajiri wa sura mpya,

Maana kuna wengi wanaondoka

Ramsey

Nacho

Welbek

Iwobi

Pia namba 2 wa kumsaidia belle mwenye umri mdogo, ataletwa, kiungo mmoja , winger ,na straiker mmoja wakuchukua nafas ya welbek

Kwa january, unai ashajipanga kuingia sokon kwa ajiri ya mabeki wawil hasa wa kati, na winger mmoja

Hivo tarajia wachezaj wasiozid watatu kwa january hii
 
Hilo linajulikana , tarajia mpaka summer usajiri wa sura mpya,

Maana kuna wengi wanaondoka

Ramsey

Nacho

Welbek

Iwobi

Pia namba 2 wa kumsaidia belle mwenye umri mdogo, ataletwa, kiungo mmoja , winger ,na straiker mmoja wakuchukua nafas ya welbek

Kwa january, unai ashajipanga kuingia sokon kwa ajiri ya mabeki wawil hasa wa kati, na winger mmoja

Hivo tarajia wachezaj wasiozid watatu kwa january hii

Pia Emery anamtaka Isco lakini Real Madrid wanataka swap deal na Ozil.

Kama sio hivyo bado Inter Milan wanakuwa ndio wenye kutaka kumsaini Ozil.

Kipa Kaylor Navas wa Real Madrid pia anaweza kuja Arsenal kuchukua nafasi ya Cech.

Hivyo Arsenal mpya ya 2019/20 itakuwa na makipa Leno na Navas kama namba 2 .

David Ospina kuwa kipa wa kudumu wa Napoli.
 
Usimsahau Ozil.
Hilo linajulikana , tarajia mpaka summer usajiri wa sura mpya,

Maana kuna wengi wanaondoka

Ramsey

Nacho

Welbek

Iwobi

Pia namba 2 wa kumsaidia belle mwenye umri mdogo, ataletwa, kiungo mmoja , winger ,na straiker mmoja wakuchukua nafas ya welbek

Kwa january, unai ashajipanga kuingia sokon kwa ajiri ya mabeki wawil hasa wa kati, na winger mmoja

Hivo tarajia wachezaj wasiozid watatu kwa january hii
 
Habar kwa sasa
Swap ya Ozil ipo kwa PSG.
Wao wanatupa Rabiot.
Pia Emery anamtaka Isco lakini Real Madrid wanataka swap deal na Ozil.

Kama sio hivyo bado Inter Milan wanakuwa ndio wenye kutaka kumsaini Ozil.

Kipa Kaylor Navas wa Real Madrid pia anaweza kuja Arsenal kuchukua nafasi ya Cech.

Hivyo Arsenal mpya ya 2019/20 itakuwa na makipa Leno na Navas kama namba 2 .

David Ospina kuwa kipa wa kudumu wa Napoli.
 
Back
Top Bottom