Hebu tulia mzeeUsiwape matokeo, hawakawiii kujinyonga hawa kwa matokeo yasiowahusu![]()



Tupe mtazamo wako kuhusu goli la Dele Ali ..linaweza kuwa goli bora la mwezi huu?Hao liver hata washinde games 38 zote ,amin hawabebi epl ,
Vikombe vyenyewe vingi walishinda wakati ligi inaitwa league 1 sijui, hiyo maana yake timu ya MAKUMBUSHO. Toka hapo ni ukame, epl wanaisikia tu kwa Manu na ARSENAL FC.Una troph gan ww, hivo vibuyu 18 ,hata kuzaliwa ulikuwa bado
Timu toka 2011 mpaka leo ni UKAME
Carabao cup. Hii ni ndondo!Tupe mtazamo wako kuhusu goli la Dele Ali ..linaweza kuwa goli bora la mwezi huu?
Wanajinyonga sana hawa
Hili wiki tu bunley akithubutu kuwatekenya matukio ya vifo utaona yanavyoongezeka
wewe
tulia umalize noma yako kwanza na wanaume kutoka wolves
hizi kelele zako zitakuwa na maana sana itakapofika may ila kwasasa unajifurahisha tu alafu mwisho wa siku aibu trophilessYani Wolves tuliowanyoosha jana usiku kwako ww unawaona wanaume?
Basi kwa hali hii hata hiyo top4 mtaisikia kwenye bomba, bad eneough huko Europa tumeamua kuwazawadia Napoli mpambane nae😂😂😂
😀😀😀kumbe imekuuma sana mkuu, pengine hujui washabiki wenzio wanachofanya kwnye majukwaa mengine. Fresh lakini mchezo hauhuitaji hasira huuHivi hili jukwaa la The Gunners au Liverfools. We kiazi mbona unajua ka demu muuza papa. Si ukajadili kablu yako kwenye jukwaa lenu.
Una troph gan ww, hivo vibuyu 18 ,hata kuzaliwa ulikuwa bado
Timu toka 2011 mpaka leo ni UKAME
hahahahahaha nyumbu mna shida sanaKama kawa chama langu The clarets Tunafanya yetu leo na kuendeleza Series yetu ya Beaten Mana mshatoboka
Naomba mjiandae kisaikolojia game ngumu hii na huddersfield mlipata tabu ila na hawa Burnley mtapata tabu sanaa
Striker Vokes anaeka lake na Ashley Barnes lake 2 bila manyumbu mnatulia tuliiii
Nilifikiri utakuja na ngonjera ya tarehe 29 kumbe umeona ubadili tena ngonjera sasa umeleta ya Mayhizi kelele zako zitakuwa na maana sana itakapofika may ila kwasasa unajifurahisha tu alafu mwisho wa siku aibu trophiless
Nilifikiri utakuja na ngonjera ya tarehe 29 kumbe umeona ubadili tena ngonjera sasa umeleta ya May
😀😀😀kumbe imekuuma sana mkuu, pengine hujui washabiki wenzio wanachofanya kwnye majukwaa mengine. Fresh lakini mchezo hauhuitaji hasira huu
wewe hiyo tar 29 hili jukwaa utaliona chunguNilifikiri utakuja na ngonjera ya tarehe 29 kumbe umeona ubadili tena ngonjera sasa umeleta ya May
hapo unapopaita machinjioni nshakupiga 6 so sidhani kama nina la kuhofia hapo😂😂 hana ubavu sasa tarh 29 anakuja machinjion Anfield