Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Haikupaswa kusomeka "Torreira is not only good in the tackling but scoring too"

Bali torreira he is not only good in tackling but also in scoring too
Torreira he.......too=grammatically noun and pronoun can't be used at one time and too can't be put at lastly so you are wrong.
The right sentences must be
1.He is not only good in tackling but also in scoring.
2.Torreira is not only good in tackling but also in scoring.
Kumbuka kuwa neno ulilotumia mwishoni mwa sentensi Too ni makosa kisarufi maana halikai mwishoni na linaenda na kanuni ya Too............to.
Hivyo basi unapomkosoa mtu umuelimishe vyema siyo umlishe uongo tena.
 
De only player in Arsenal history who take four MOTM OUT OF FIVE GAMES BOSSSSSA MY LION Lucas Torreira form for Arsenal:

vs Liverpool
MOTM

vs Bournemouth
MOTM

vs Tottenham
️ Goal
MOTM

vs Man United
Assist
MOTM

vs Huddersfield
️ Goal
MOTM

Signing of the season.
FB_IMG_1544341385546.jpeg
 
After losing their opening two games, Arsenal are now unbeaten in 21 games in all competitions under Unai Emery (16W 5D). #afc

Shkodran Mustafi & Sokratis will both miss Arsenal’s next league game through suspension, away to Southampton, after both picked up their fifth booking of the season. #afc

Xhaka on the win: "I think it was a difficult game & Huddersfield played the whole game one against one, so it was difficult against them & we knew that before. 1-0 & three points is the most important thing for us" #Arsenal


Emery: "We can improve more & today we spoke that we want to win matches with more control. But we are very competitive & showed character" #Arsenal


Emery: "We're working for them (fans), they can be happy with us & proud of our work, with our victories. But every day you need to create a new feeling & Saturday, we want to give them the same energy & be connected with them. If we do that, they'll respond with the same energy"


Alan Smith: "Sead Kolasinac’s form has slipped under the radar. #Arsenal’s left-back is putting in some committed displays to lend the side a dangerous attacking threat as well as a natural defiance on the back foot"



Smith on Kolasinac: "Getting fitter & sharper after a good run of games, Kolasinac is finally proving he can thrive at this level. Arsene Wenger, for one, did not seem sure. After buying him, Wenger appeared to quickly lose faith in the barrel-chested battler" #Arsenal



Smith on Kolasinac: "You wondered if the lad had a future at the club. But he seems to have one now & is turning into a key player who has fully bought in to Unai Emery’s ways" #Arsenal
 
Hahahaha nililiendeleza kimakusudi. Mnang'ang'ania kusahihishana ktk lugha za wenzenu wakati kiswahili chenu kila siku mnakosea na hamsahihishani. Ukoloni(utumwa) mamboleo. Mfano kupenda na kushadadikia mpira wa England ni mojawapo ya huu utumwa. Waafrika tunatumia muda mwingi ktk soka la ulaya kuliko soka la nchi zetu.
Huoni kama ni upuuzi kushangilia ligi ambayo wengine wanacheza kila baada ya siku tatu na wengine wanakaa wiki mbili bila kucheza?! Nani mtumwa hapo?
 
Naomba kuuliza hili swali kwa mashabiki kindaki ndaki wa Ozil jee akiondoka Leo hii kuna pengo mnaliona ataliacha???Jee mnahisi Ozil yupo kwny mipango ya Emery???nikimaanisha jee ni mchezaji muhim kwa Emery kama ilivyokuw kwa Wenger?
 
Naomba kuuliza hili swali kwa mashabiki kindaki ndaki wa Ozil jee akiondoka Leo hii kuna pengo mnaliona ataliacha???Jee mnahisi Ozil yupo kwny mipango ya Emery???nikimaanisha jee ni mchezaji muhim kwa Emery kama ilivyokuw kwa Wenger?
Kuna tabia isiyo nzuri ambayo ozil anaionesha kwa kocha hasa akipigwa sub hivyo kocha keshamsoma long.
 
Tetesi-Mesut Özil kuuzwa kwa paundi milioni 25 tu

Mitandao mingi ya habari, ukiwamo wa Daily Mail imeandika ya kwamba Arsenal ipo tayari kumuuza kwa hasara kiungo huyo kwani wanaona ya kwamba mshahara anaopata kwa paundi 350,000 kwa wiki ni mkubwa mno kulinganisha na mchango wake kwenye timu na wanaona wanaweza kupata mbadala wake kwa nusu ya mshahara huo.

Ikumbukwe ya kwamba Mesut Özil hajaichezea Arsenal katika michezo mitano iliyopita kwa madai ya kwamba alikuwa na maumivu ya mgongo.

Taarifa hizo zinaendelea kudai ya kwamba Inter Milan ipo tayari kutoa dau hilo ili kumpata kiungo huyo na kwamba maongezi kati wa wakala wa Özil na timu hiyo yataanza wiki ijayo.

Mtazamo wangu
Kwa upande mmoja vigumu kuamini tetesi hizo kwani hawajasema ni wapi wamezitoa habari hizo, lakini kwa upande mwingine naona mwisho wa Mesut Özil ndani ya Arsenal unakaribia kwani amekuwa akikosa mechi nyingi kuanzia mwishoni mwa msimu uliopita na siamini kama uongozi mpya wa Arsenal utaweza kumvumilia.

Pia naamini ya kwamba litakuwa kosa kubwa sana kumuuza Mesut Özil bila ya kusajili mchezaji atakayeziba pengo lake kwani kwa sasa hakuna kiungo mshambuliaji wa kuaminika na mwenye uwezo wa kutengeneza nafasi kama yeye ndani ya kikosi hiki cha Arsenal.

Mfano mzuri ni katika mchezo wa jana ambapo mwalimu Unai Emery alilazimika kuwaanzisha viungo wakabaji watatu, pia Iwobi na Mkhi leo wanacheza vizuri kesho wanacheza chini ya kiwango, sio wa kuwaamini sana.
IMG-20181209-WA0020.jpeg
 
Yeah kuhusu Pengo Lipo atakaloliacha...Mtu mwenye assists za kutosha kama yeye Lazima kuna Pengo ataliacha..

But kwa sasa Ozil ni Liability kwetu..Haendani na mfumo wa Unai anaotaka..so as long as tunapata matokeo bila yeye haina shida Aondoke January...

Mshahara anaopokea na namna anavyofanya aende tu.

Naomba kuuliza hili swali kwa mashabiki kindaki ndaki wa Ozil jee akiondoka Leo hii kuna pengo mnaliona ataliacha???Jee mnahisi Ozil yupo kwny mipango ya Emery???nikimaanisha jee ni mchezaji muhim kwa Emery kama ilivyokuw kwa Wenger?
 
Yeah kuhusu Pengo Lipo atakaloliacha...Mtu mwenye assists za kutosha kama yeye Lazima kuna Pengo ataliacha..

But kwa sasa Ozil ni Liability kwetu..Haendani na mfumo wa Unai anaotaka..so as long as tunapata matokeo bila yeye haina shida Aondoke January...

Mshahara anaopokea na namna anavyofanya aende tu.
Upo sahihi

Ila arsenal itammis ozil hasa kwa upande wa biashara, ndio mchezaji anayeiingizia mamilion arsenal kwenye mikataba ya kibiashara, akifuatiwa na auba
 
Naomba kuuliza hili swali kwa mashabiki kindaki ndaki wa Ozil jee akiondoka Leo hii kuna pengo mnaliona ataliacha???Jee mnahisi Ozil yupo kwny mipango ya Emery???nikimaanisha jee ni mchezaji muhim kwa Emery kama ilivyokuw kwa Wenger?
Hapana
Aondoke tuu
Tunataka mafund vichwa ngumu tuu
Ozil fundi sema mrembo.
 
Hapana
Aondoke tuu
Tunataka mafund vichwa ngumu tuu
Ozil fundi sema mrembo.
Ahaaa ahaaa urembo wa Ozil upo wapi mkuu?

Sema makocha wapya mara nyingi wakichukua timu hali kama hii hujitokeza, lazima kuna wachezaji wakubwa watashindwa kuendana nae..

Akina Yaya Toure,Zabaleta walishindwana na Pep...
Fabregas anacheza Carabao cup sasa hivi wakati wa Conte Alikua first eleven.

Waondoke tu wengi zaidi Emery alete wapya wanaoendana na Anachokitaka.
 
Zabaleta uzee tatizo
Yaya toure mzito
Ndo maana hata morihno alimuanzisha bench pogba match na arsenal toure na pogba ni wazito japo ni mafundi na wananguvu
Ahaaa ahaaa urembo wa Ozil upo wapi mkuu?

Sema makocha wapya mara nyingi wakichukua timu hali kama hii hujitokeza, lazima kuna wachezaji wakubwa watashindwa kuendana nae..

Akina Yaya Toure,Zabaleta walishindwana na Pep...
Fabregas anacheza Carabao cup sasa hivi wakati wa Conte Alikua first eleven.

Waondoke tu wengi zaidi Emery alete wapya wanaoendana na Anachokitaka.
 
Tetesi-Mesut Özil kuuzwa kwa paundi milioni 25 tu

Mitandao mingi ya habari, ukiwamo wa Daily Mail imeandika ya kwamba Arsenal ipo tayari kumuuza kwa hasara kiungo huyo kwani wanaona ya kwamba mshahara anaopata kwa paundi 350,000 kwa wiki ni mkubwa mno kulinganisha na mchango wake kwenye timu na wanaona wanaweza kupata mbadala wake kwa nusu ya mshahara huo.

Ikumbukwe ya kwamba Mesut Özil hajaichezea Arsenal katika michezo mitano iliyopita kwa madai ya kwamba alikuwa na maumivu ya mgongo.

Taarifa hizo zinaendelea kudai ya kwamba Inter Milan ipo tayari kutoa dau hilo ili kumpata kiungo huyo na kwamba maongezi kati wa wakala wa Özil na timu hiyo yataanza wiki ijayo.

Mtazamo wangu
Kwa upande mmoja vigumu kuamini tetesi hizo kwani hawajasema ni wapi wamezitoa habari hizo, lakini kwa upande mwingine naona mwisho wa Mesut Özil ndani ya Arsenal unakaribia kwani amekuwa akikosa mechi nyingi kuanzia mwishoni mwa msimu uliopita na siamini kama uongozi mpya wa Arsenal utaweza kumvumilia.

Pia naamini ya kwamba litakuwa kosa kubwa sana kumuuza Mesut Özil bila ya kusajili mchezaji atakayeziba pengo lake kwani kwa sasa hakuna kiungo mshambuliaji wa kuaminika na mwenye uwezo wa kutengeneza nafasi kama yeye ndani ya kikosi hiki cha Arsenal.

Mfano mzuri ni katika mchezo wa jana ambapo mwalimu Unai Emery alilazimika kuwaanzisha viungo wakabaji watatu, pia Iwobi na Mkhi leo wanacheza vizuri kesho wanacheza chini ya kiwango, sio wa kuwaamini sana.View attachment 961456

Unai Emery tayari amesema kwamba Arsenal ina mpango wa kusajili wachezaji kadhaa mwezi January.

Possible destination ya Mesut Ozil ni Inter Milan.

Emery na Arsenal hawawezi kumuachia aende kwa timu pinzani kama Wenger alivyofanya huko nyuma.
 
1544352796106.png

The new Arsenal darling, Lucas Torreira wheels away after scoring a beautiful goal against Huddersfield.

Tulikosa aina hii ya mchezaji kwa muda mrefu sana.

Jana usiku wapenzi wa Arsenal tulishinda kwenye mtandao wa Twitter tukijaza ujumbe wa shukrani kwa timu ya Samprodia ambayo walimruhusu Torreira kusajiliwa na Arsenal.

Kuona ubao wa shukrani unajaa ujumbe Samprodia wakaamua kutengeneza sehemu maalum ya kupokea ujumbe wa wapenzi wa Arsenal.

Lucas Torreira alisajiliwa na Arsenal kwa pauni milioni 25 tu ikisemwa kwamba hiyo ilikuwa ni "bargain of the season" kwa mujibu wa gezeti la Guardian la Uingereza.
 
Usajili news: Arsenal inaweza kumuuza Ozil ili kumsajili mkoba wa Espanyol Mario Hermoso.


1544354315437.png

Beki huyo mshahara ana sehemu ya kuvunja mkataba (buy back clause) cha kuachiwa kwenda timu ingine kiasi cha pauni milioni 35

Arsenal ina mabeki wa kati watano lakini wengi wao ni majeruhi kama Rob Holding na Laurent Koscielny, Shkodran Mustafi, Sokratis Papastathopoulos na Konstantinos Mavropanos

Lakini imeonekana kuna haja ya kuongeza nguvu sehemu hiyo na Hermoso mwenye umri wa miaka 23, anajaza ankara ya matumizi.

Beki huyo pia analindwa na Real Madrid ambao walimuuza kwa Espanyol na Arsenal inaweza kushindwa kwenye makubaliano kwa kuzingatia beki huyo yupo hukuhuko kwenye eneo la tukio nchini Hispania.

Tusubiri.
 
Back
Top Bottom