Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

naona mesut anaonesha kuwa bado anahitajika sana pale kikosini maana kuna mambo adimu ambayo tuliyamis katika mechi mbili tatu zilizopita,

hyu dogo saka nae anaonesha uhai kidogo pale mbele
 
FT Ars 1 qarabag 0
Screenshot_2018-12-14-00-55-30.jpeg
 
Yaan kumbe tuna kina Dembele wengi tu hapo acardemy,

Emery sasa ampe nafasi huyu dogo ,Bakayo saka, kwa uwezo aliouonesha leo
Yeah Dogo ni promising, but he's still not good enough kuanza Game za EPL..Apelekwe kwa mkopo Sehemu akapate ukomavu na muda wa kucheza..
 
Hana lolote na likiduku lake kakosa yeye na kipa tu! Hajui soka mbwembwe mbio nyingi kama Saidi maulidi. SMG.
Wanakosa magoli kina mane na kipa one against one,

Hawa watoto bado wanapata uzoefu, huwez kusema hana lolote labda hujaangalia mpira

Well done tonight @BukayoSaka87. Unfortunately you weren't able to become the youngest ever Arsenal player to score in European competition but hopefully soon!
 
Back
Top Bottom