Leo naona tumecheza with hand break...Sijafurahia draw kabisa..Man hawajatengeneza nafasi yeyote ya kupata goli second half..FT
Man U 2-2 Arsenal
Kama juzi na jana hawa Manure tumeshindwa kuwapiga pamoja na ubora wetu kwa sasa.
Pia timu nyuma mawasiliano ni dhaifu sanaLeo naona tumecheza with hand break...Sijafurahia draw kabisa..Man hawajatengeneza nafasi yeyote ya kupata goli second half..
Monreal anarudi lini still is far better than Kolasinac..
A true gunnerNaomba niirudie hii Man U,Liva na B.Munich ni timu ambazo natamani sana tuzibutue kila tukikutana nazo na hii inatokana na jinsi wanavyo tu-outclass tukikutana nao hata kama tukiwa na timu bora vipi tunakua dhaifu kwao.
Record yetu na Man U ni mbaya zaidi wameshinda mara 24,draws 15 na sisi tumeshinda mara 13 tu kwenye ligi(head to head) wakiwa na idadi kubwa ya magoli ya kufunga kuliko sisi na mara nyingi wametupiga tukiwa kwenye ubora wetu na mara ya mwisho kupata matokeo pale OT ni 2006(EPL) natamani leo tuachane na huu mzimu,binafsi nitaangalia hii game nikiwa sina amani kabisa.
Ukweli mpira umeharibikia upande ule ule na man walikuwa wanapigwa nyingi na wasichomoe hata moja as kiungo tuliwadaka sawasawa.Leo naona tumecheza with hand break...Sijafurahia draw kabisa..Man hawajatengeneza nafasi yeyote ya kupata goli second half..
Monreal anarudi lini still is far better than Kolasinac..
HahahaTuombe
Asante Mungu kwa kunyamazisha hili genge la vipofu.
Amina
Ukweli mpira umeharibikia upande ule ule na man walikuwa wanapigwa nyingi na wasichomoe hata moja as kiungo tuliwadaka sawasawa.
FactSijaelewa goli la pili tulilofungwa Kolasinac Alikua anajaribu kufanya nini...Easy way always kwa beki ni ku-clear mpira yeye anaslide kurudisha mpira...Kosa la kijinga sana.
I think kama tunatumia Wing backs kushambulia Emery hana budi kuwafundisha Bellerin/Kolasinac how to cross or to cut back mpira kwa Fowards...Bellerin anakua kwenye nafasi nzuri Mara nyingi Ila cross zake mbovu sana ama atamlenga kipa..He needs to improve.
Sijaridhika na point moja kabisa.Hususani Chelsea amepoteza na probably next game anapoteza kwa City.
Ni mxengeYaani magoli tuliyofungwa leo ya mazingaombwe,dah ila sio mbaya watakuja emirates.
Kwani nawew magoli yako si ya mazingaombwe tupuYaani magoli tuliyofungwa leo ya mazingaombwe,dah ila sio mbaya watakuja emirates.