UrbanGentleman
JF-Expert Member
- Jun 19, 2016
- 2,584
- 1,886
Kosa la unai ni moja defensive hayuko vizuri na lazima aact kwa hili
My call to him ni kwamba ajitahid kutoruhusu gori sanaPamoja na kwamba alikuwa forced kufanya subs kabla ya wakati na ambazo tunaweza kusema hazikuwa tactical subs, zilikuwa subs Kwa vile watu waliumia. Lakini bado kocha alikuwa na composure ya kufanya mabadiliko chanya, tukapata matokeo. Hakika mzee Wenger kwa yale majeruhi tungelala jana.
Daah mwambieni Ngogo arudi Arsenal. Nyumbani kumenoga. Naona aliaga kitambo na Thread yake ya Nimeacha kuishabikia Arsenal....Kitu ambacho ulikuwa haikujui kuhusiana na Matheo Guendouzi dhidi ya Manchester united jana ni kwamba, Uwanja mzima wa old Trafford ulikuwa anamzomea ili kumtoa mchezoni. Moja kati mashabiki ambao wanaamini kuwa Arsenal wana kipaji kizur kupitia Guendouzi ni Manchester united kwa hyo walijua akiwa kawaida atawapatia shida kwenye kuendesha mchezo kwenye eneo la kiungo. Amezomewa sana kiasi kpnd cha kwanza alishindwa kucheza vzr ila baada ya kurejea kpnd cha pili akili yale ilianza kuimarika. Kwa pamoja na yote matheo amecheza kwenye mazingira magumu sana jana akiwa Trafford na ndio maana umeona fellain kaja kufanya tukio ambalo c la kiungwana,ile ilikuwa ndio Tempo mzima Manchester kma walimtageti dogo ili watumie mapungufu yake ya kitokkomaa lkn hata hvyo hawakuwanikiwa sababu cyo kinda la wenger kma walivyozoea!
HII NI UNAI EMERY ERAView attachment 957950
Hiyo ni sababu kweli iliyofanya fans wa man utd kumzomea dogo muda wote?Kitu ambacho ulikuwa haikujui kuhusiana na Matheo Guendouzi dhidi ya Manchester united jana ni kwamba, Uwanja mzima wa old Trafford ulikuwa anamzomea ili kumtoa mchezoni. Moja kati mashabiki ambao wanaamini kuwa Arsenal wana kipaji kizur kupitia Guendouzi ni Manchester united kwa hyo walijua akiwa kawaida atawapatia shida kwenye kuendesha mchezo kwenye eneo la kiungo. Amezomewa sana kiasi kpnd cha kwanza alishindwa kucheza vzr ila baada ya kurejea kpnd cha pili akili yale ilianza kuimarika. Kwa pamoja na yote matheo amecheza kwenye mazingira magumu sana jana akiwa Trafford na ndio maana umeona fellain kaja kufanya tukio ambalo c la kiungwana,ile ilikuwa ndio Tempo mzima Manchester kma walimtageti dogo ili watumie mapungufu yake ya kitokkomaa lkn hata hvyo hawakuwanikiwa sababu cyo kinda la wenger kma walivyozoea!
HII NI UNAI EMERY ERAView attachment 957950
Transition.Huwez kuchukua mchezaj arsenal kizembe,
Timu ilishabadilishwa uongoz had mfagia uwanja,
Timu ipo kwenye traslation, inajengwa
Yap mkuuTransition.
Safi sana! Ujue iwe ni kwenye biashara, michezo, siasa n.k kunapaswa kuwepo na mtu au watu wenye jicho la tatu kuweza kuona mambo siyoonekana kwa haraka. Kwa upande wa timu ikikosa mtu wa aina hiyo ndio hapo mnajikuta mnasajili garasa kwa mamilioni ya pesa na kumuacha mtu sahihi kwa kuwa tu huyo garasa wa mamilioni amepambwa na media. Timu ikiwa na mtu mwenye jicho la ziada hakika mafanikio huja tu kwakuwa ataleta vipaji ambavyo vikikutana na kocha mzuri ni suala la muda tu kila mmoja atabaki kujiuliza nini kinaendelea. Kwa huyu fundi mtafuta vipaji, naweza sema Arsenal tumepata mtu sahihi kwa wakati sahihi kwani hata kocha wetu nae konkiiiiMislintat on Guendouzi: "I saw him at FC Lorient, when the club still was in the first division. I like the club, they always produce interesting players. Guendouzi stood out with his long hair & his personality" #Arsenal
Mislintat on Guendouzi: "I also concentrated on his weaknesses. Are they trainable? Matteo ran unnecessarily across the whole pitch, but I was sure that it would only be a matter of training & time, before he learned when to run" #Arsenal
Mislintat on Guendouzi: "I also concentrated on his weaknesses. Are they trainable? Matteo ran unnecessarily across the whole pitch, but I was sure that it would only be a matter of training & time, before he learned when to run" #Arsenal
Mislintat on Guendouzi: "It was an important transfer for us, because we wanted to show the world we’re still the old #Arsenal, which gives opportunities to younger players"
View attachment 958638


Na wakishinda goal wawe wanaibusu logo ya arsenal naomba huo mswada ukaupitisheNafanya kazi katika ofisi ambayo kuanzia ceos,board of directors,md,deputy officers karibu wote yani can say 95%,ya ofisi ni washabiki wa manyumbu sasa nawatuliza nitakavyo
Tuna game ya ofisi kati wanao hangaika field na ma ofisa wanao kua busy ofisini
Wakasemaje kua Arsenal akipata hata draw nini kushinda yani game ijayo tunacheza mechi yetu tukiwa tumevaa jersey za Arsenal og... Huyo alikua CEO mi nikasema tafadhali uishi maneno yako, akajibu i always do. Nikasema Sawa baada ya mechi kuisha nikasema thank to refa mzee but kiapo kipo pale pale. Unajua katoa mzigo wa watu kumi na saba af wote wanashabikia man u kuzivaa kesho kwenye mechi ya kiofisi af mzigo toka mfukoni kwake...
Sasa mechi kesho leo nasubiri mgao wangu wa jersey. Worse case ni kwamba lazima wavae uzi wetu na ni wanazi haswa wa manyumbu fc

Umepita babu japo naona wengi wameanza visingizio kuwa hawatakuepiNa wakishina goal wawe wanaibusu logo ya arsenal naomba huo mswada ukaupitishe![]()
![]()
![]()
Bad news..... Hivi koscienly bado hajawa fiti kucheza?View attachment 959209
Dah! Afadhali aisee maana Dogo alishakuwa vizuri sana tu hii kukaa nje muda mrefu inaweza kumshusha kiwangoHii imekaa vibaya,Koscienly amecheza mechi za U23 nadhani anahitaji game fitness tu ili arudi kikosi cha kwanza.
So sadBad news..... Hivi koscienly bado hajawa fiti kucheza?View attachment 959209