Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,720
Binafs Mm naona refa amebugi kias flan hivi maana tuanze na goli la Man United lile la kusawazisha Kiukwel Herrera alikuwa offside kabla hata kipa wa wa arsenal ajaucheza ule mpira tayal alikuwa Kazid Herrera.
Aubamyang Kipind cha Kwanza alikuwa hajachangamka Kama vile tunavo mfaham pia. Guendouzi bado Ana kauzito flan hivi maana kunamuda alikuwa achelewa kuachia mpira mapema japo amejitahid sana kupambamba lkn Ukwel kumkosa xhaka Leo imepunguza kitu flan hivi kwenye timu yetu arsenal.
3 mara tu kuumia kwa holding kule nyuma kuliyumba kias flan hivi soklats na mustaf kuna muda Walikuwa km wanategeana hvi hivi na kuwa na uzto wa kufanya maamuz ya haraka kwa wakat sahii. Comb ya toreira na xhaka imeonekana pia comb ya holding na mustaf inajulikana hivo Ndyo vitu kwa upande wangu kidogo Ndyo Nimeviona Leo sub zalalzma kufanya pia imechangia.
4 mara tu kuingia kwa Mkhitaryan na lacazzette pale mbele paliongeza kitu hasa prsh kwa mabek wa Man United. All in all timu imejitahid Tumetoka na point moja syombaya maana hata wao nyumbu fc Walikuwa wakiztaka hizo point. Aubamyang kachangamka mala baada ya kuingia lacazzette .refa ametuumiza Kisai flan
?
TUNA MECH KAMA 4 HIVI ZA HAWA WALIOPO CHINI, HOPE 12 POINTS LAZIMA
SOON TUTAKUWA NAFAS YA 3 KUELEKEA YA PILI
LEO MAN U WANAFURAHIA SARE
?

unai emry 

Aubamyang Kipind cha Kwanza alikuwa hajachangamka Kama vile tunavo mfaham pia. Guendouzi bado Ana kauzito flan hivi maana kunamuda alikuwa achelewa kuachia mpira mapema japo amejitahid sana kupambamba lkn Ukwel kumkosa xhaka Leo imepunguza kitu flan hivi kwenye timu yetu arsenal.
3 mara tu kuumia kwa holding kule nyuma kuliyumba kias flan hivi soklats na mustaf kuna muda Walikuwa km wanategeana hvi hivi na kuwa na uzto wa kufanya maamuz ya haraka kwa wakat sahii. Comb ya toreira na xhaka imeonekana pia comb ya holding na mustaf inajulikana hivo Ndyo vitu kwa upande wangu kidogo Ndyo Nimeviona Leo sub zalalzma kufanya pia imechangia.
4 mara tu kuingia kwa Mkhitaryan na lacazzette pale mbele paliongeza kitu hasa prsh kwa mabek wa Man United. All in all timu imejitahid Tumetoka na point moja syombaya maana hata wao nyumbu fc Walikuwa wakiztaka hizo point. Aubamyang kachangamka mala baada ya kuingia lacazzette .refa ametuumiza Kisai flan

?TUNA MECH KAMA 4 HIVI ZA HAWA WALIOPO CHINI, HOPE 12 POINTS LAZIMA
SOON TUTAKUWA NAFAS YA 3 KUELEKEA YA PILI
LEO MAN U WANAFURAHIA SARE
?


unai emry 

