Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Team News:

Manchester United - Wachezaji wafuatao hawatacheza dhidi ya Arsenal

Mabeki wa pembeni Ashley Young, Luke Shaw, Antonio Valencia, Victor Lindelof na LAexis Sanchez wote watakuwa nje kwa kuwa majeruhi.

Hivyo safu ya mabeki itaundwa na Darmian, Phil Marcos, Rojo Diogo Dalot na Nemanja Matic kama beki wa kati. .

Scott McTominay anaweza kucheza nafasi ya kiungo na washambuliaji watakuwa ni pamoja na Romelu Lukaku na Marcus Rashford

More updates baadae.
 
Nimefatilia highlights za previous game Arsenal na ozil na Arsenal without ozil nimegundua kwasasa hatumuitaji ozil unless awe tayari kukaza na kupambania jersey yetu jamaa asipokua makini sina hakika kama ataendelea na Unai,
sometimes najiuliza kwanini Madrid wamuache potential kama yule?


"

Record zinaonesha alipata back injury akiwa Schalke pia immune system yake haikua sawa ambapo alitibiwa pia pale Werder

Nakumbuka mzee wenger alidiscuss yote zaid ya maramoja.

Kifupi sioni future ya ozil Arsenal na Emery...!
 
Team News:

Manchester United - Wachezaji wafuatao hawatacheza dhidi ya Arsenal

Mabeki wa pembeni Ashley Young, Luke Shaw, Antonio Valencia, Victor Lindelof na LAexis Sanchez wote watakuwa nje kwa kuwa majeruhi.

Hivyo safu ya mabeki itaundwa na Darmian, Phil Marcos, Rojo Diogo Dalot na Nemanja Matic kama beki wa kati. .

Scott McTominay anaweza kucheza nafasi ya kiungo na washambuliaji watakuwa ni pamoja na Romelu Lukaku na Marcus Rashford

More updates baadae.
Tactics
 
Team News:

Manchester United - Wachezaji wafuatao hawatacheza dhidi ya Arsenal

Mabeki wa pembeni Ashley Young, Luke Shaw, Antonio Valencia, Victor Lindelof na LAexis Sanchez wote watakuwa nje kwa kuwa majeruhi.

Hivyo safu ya mabeki itaundwa na Darmian, Phil Marcos, Rojo Diogo Dalot na Nemanja Matic kama beki wa kati. .

Scott McTominay anaweza kucheza nafasi ya kiungo na washambuliaji watakuwa ni pamoja na Romelu Lukaku na Marcus Rashford

More updates baadae.
Na sisi Torreira hatakuwepo, Auba na Lacazette wako likizo, Rasmey ameenda kumsalimia bibi yake
 
Hhaaaaaaaaa
IMG-20181205-WA0025.jpeg
 
Kikosi cha Arsenal kinashuka ugenini leo kwenye Uwanja wa Old Trafford kuikabili Manchester United katika mchezo wa Ligi Kuu England.

Mchezo huo utapigwa leo Jumatano saa tano usiku mechi hiyo ikionekana kuziweka timu hizo katika vita ya kujiweka vema katika msimamo wa Ligi Kuu England.

Man United ambayo inayonolewa na kocha Jose Mourinho itapewa sapoti zaidi na mashabiki wake kwenye dimba la Old Trafford.

Kwa mara ya mwisho Arsenal iliifunga Manchester United mchezo wa Ligi Kuu England Septemba mwaka 2006.

Arsenal inaingia kwenye mchezo huo ikijiamini kutokana na ujasiri iliopata baada ya kuifunga Tottenham katika mchezo wake uliopita.

Kocha Unai Emery atakuwa uwanjani akihitaji ushindi ili kujihakikishia nafasi ya kuwapo nne bora ambapo zinafukuzana Man City, Liverpool, Chelsea huku Tottenham ikiwa nafasi ya tano na alama 30 sawa na Arsenal.
 
Kikosi cha Arsenal kinashuka ugenini leo kwenye Uwanja wa Old Trafford kuikabili Manchester United katika mchezo wa Ligi Kuu England.

Mchezo huo utapigwa leo Jumatano saa tano usiku mechi hiyo ikionekana kuziweka timu hizo katika vita ya kujiweka vema katika msimamo wa Ligi Kuu England.

Man United ambayo inayonolewa na kocha Jose Mourinho itapewa sapoti zaidi na mashabiki wake kwenye dimba la Old Trafford.

Kwa mara ya mwisho Arsenal iliifunga Manchester United mchezo wa Ligi Kuu England Septemba mwaka 2006.

Arsenal inaingia kwenye mchezo huo ikijiamini kutokana na ujasiri iliopata baada ya kuifunga Tottenham katika mchezo wake uliopita.

Kocha Unai Emery atakuwa uwanjani akihitaji ushindi ili kujihakikishia nafasi ya kuwapo nne bora ambapo zinafukuzana Man City, Liverpool, Chelsea huku Tottenham ikiwa nafasi ya tano na alama 30 sawa na Arsenal.
Tumewafunga man mara kibao tu si tangu 2006 ni vema ungeainisha ugenini au nyumbani. Tumewapiga fa juzi tu na ya 3 bila juzi juzi. Ainisha sawasawa.
 
Naomba niirudie hii Man U,Liva na B.Munich ni timu ambazo natamani sana tuzibutue kila tukikutana nazo na hii inatokana na jinsi wanavyo tu-outclass tukikutana nao hata kama tukiwa na timu bora vipi tunakua dhaifu kwao.
Record yetu na Man U ni mbaya zaidi wameshinda mara 24,draws 15 na sisi tumeshinda mara 13 tu kwenye ligi(head to head) wakiwa na idadi kubwa ya magoli ya kufunga kuliko sisi na mara nyingi wametupiga tukiwa kwenye ubora wetu na mara ya mwisho kupata matokeo pale OT ni 2006(EPL) natamani leo tuachane na huu mzimu,binafsi nitaangalia hii game nikiwa sina amani kabisa.
 
Naomba niirudie hii Man U,Liva na B.Munich ni timu ambazo natamani sana tuzibutue kila tukikutana nazo na hii inatokana na jinsi wanavyo tu-outclass tukikutana nao hata kama tukiwa na timu bora vipi tunakua dhaifu kwao.
Record yetu na Man U ni mbaya zaidi wameshinda mara 24,draws 15 na sisi tumeshinda mara 13 tu kwenye ligi(head to head) wakiwa na idadi kubwa ya magoli ya kufunga kuliko sisi na mara nyingi wametupiga tukiwa kwenye ubora wetu na mara ya mwisho kupata matokeo pale OT ni 2006(EPL) natamani leo tuachane na huu mzimu,binafsi nitaangalia hii game nikiwa sina amani kabisa.

Kipigo kizuri mtusaidie kumtimua Mou, ila mkishindwa tena kwa UTD hii sijui mtaiweza ipi tena. Tusaidieni wana mageuzi leo
 
Tumewafunga man mara kibao tu si tangu 2006 ni vema ungeainisha ugenini au nyumbani. Tumewapiga fa juzi tu na ya 3 bila juzi juzi. Ainisha sawasawa.

Uliyem-quote ameainisha kabisa kuwa ni katika ligi kuu au mpaka aandike PREMIER LEAGUE ndipo utamuelewa labda
 
Walikuja emirete tukawapiga juz tu hapa sachez anawapiga goal kwa kisigino

Itatakiwa aongezee kuwafunga dimban kwao ndo mala ya mwisho 2006
Kwao sale zilikua nying hv karbun
Tumewafunga man mara kibao tu si tangu 2006 ni vema ungeainisha ugenini au nyumbani. Tumewapiga fa juzi tu na ya 3 bila juzi juzi. Ainisha sawasawa.
 
Na sisi Torreira hatakuwepo, Auba na Lacazette wako likizo, Rasmey ameenda kumsalimia bibi yake

Hapana mkuu.

Granit Xhaka ndo anakosa mechi ya leo anatumikia adhabu ya kukosa mechi moja kwa kupokea kadi 5 za njono.

Hivyo basi, Matteo Guendouzi anaanza mechi na atakuwa pale katikati akishirikiana na Lucas Torreira.

Habari ni kwamba timu iloanza na Tottenham ndo itakayoanza leo ukiondoa Guendouzi.

Yaani nyuma Kipa ni Leno na mabeki watatu wa kati, Robert Holding, Mustafi na Sokratis

Mabeki wa pembeni ni Kolasinac na Bellerin

Katikati ni Guendouzi na Torreira

Mbele kati ni Alex Iwobi na Mkhitaryan

Na mshambuliaji ni Aubameyang.

Mtindo ni 3-4-2-1

Tungoje list kamili itakapothibitishwa.
 
Kwa kweli kudos Unai Emery, at least mtaani tunajidai, zile tops zavalika kwa confidence,na moyo haudundidundi kama zamani!
Kwa wengi baada ya kumchapa Spuds yaonekana the onus is on us, wanategemea tufanye yetu tena kama tulivyomfyekelea na kumtupia kule Spuds...Lets enjoy the game, again!
C O Y G.....
 
Back
Top Bottom