Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hapana mkuu.

Granit Xhaka ndo anakosa mechi ya leo anatumikia adhabu ya kukosa mechi moja kwa kupokea kadi 5 za njono.

Hivyo basi, Matteo Guendouzi anaanza mechi na atakuwa pale katikati akishirikiana na Lucas Torreira.

Habari ni kwamba timu iloanza na Tottenham ndo itakayoanza leo ukiondoa Guendouzi.

Yaani nyuma Kipa ni Leno na mabeki watatu wa kati, Robert Holding, Mustafi na Sokratis

Mabeki wa pembeni ni Kolasinac na Bellerin

Katikati ni Guendouzi na Torreira

Mbele kati ni Alex Iwobi na Mkhitaryan

Na mshambuliaji ni Aubameyang.

Mtindo ni 3-4-2-1

Tungoje list kamili itakapothibitishwa.
Lacazette angeanza ili Iwobi aingie sub
 
Naomba niirudie hii Man U,Liva na B.Munich ni timu ambazo natamani sana tuzibutue kila tukikutana nazo na hii inatokana na jinsi wanavyo tu-outclass tukikutana nao hata kama tukiwa na timu bora vipi tunakua dhaifu kwao.
Record yetu na Man U ni mbaya zaidi wameshinda mara 24,draws 15 na sisi tumeshinda mara 13 tu kwenye ligi(head to head) wakiwa na idadi kubwa ya magoli ya kufunga kuliko sisi na mara nyingi wametupiga tukiwa kwenye ubora wetu na mara ya mwisho kupata matokeo pale OT ni 2006(EPL) natamani leo tuachane na huu mzimu,binafsi nitaangalia hii game nikiwa sina amani kabisa.
Bila kuwasahau na barca mkuu wametutesa sana hawa watu
 
Naomba niirudie hii Man U,Liva na B.Munich ni timu ambazo natamani sana tuzibutue kila tukikutana nazo na hii inatokana na jinsi wanavyo tu-outclass tukikutana nao hata kama tukiwa na timu bora vipi tunakua dhaifu kwao.
Record yetu na Man U ni mbaya zaidi wameshinda mara 24,draws 15 na sisi tumeshinda mara 13 tu kwenye ligi(head to head) wakiwa na idadi kubwa ya magoli ya kufunga kuliko sisi na mara nyingi wametupiga tukiwa kwenye ubora wetu na mara ya mwisho kupata matokeo pale OT ni 2006(EPL) natamani leo tuachane na huu mzimu,binafsi nitaangalia hii game nikiwa sina amani kabisa.
Najua mnaweza kabisa kumkalisha leo huyu shetani
 
Our starting XI
IMG_0346.JPG

All the best lads.....COYG
 
Nilikua kimya ad vikos nivione

My analysis
Game la leo tutatawala mchezo mzima dakka zote 90 ad zile za nyongeza

Kumuweka lacazete bench kimpira inamaana mambo yakienda mrama aje kubadilisha matokeo kama plan B

Toreira na gundouz n peferct combo
Ila tu toreira asijisahau kupanda mbele, maana plan ya mourinho leo n moja tu nayo n counterattack


Arsenal win win win
 
Man Utd XI: De Gea, Dalot, Bailly, Smalling, Rojo, Darmian, Herrera, Matic, Lingard, Rashford, Martial.

Arsenal XI: Leno, Bellerin, Mustafi, Sokratis, Holding, Kolasinac, Torreira, Guendouzi, Ramsey, Iwobi, Aubameyang.
 
A very important match for Man United, likely their biggest test this season. However, their two biggest stars are out. Arsenal makes two changes to their lineup.
 
Wale wa kuweza kuagiza bidhaa mitandaoni...

Lucas T-Shirt

T-shirt ya Torreira...£29.99, kwetu ghali kidogo, ila kwa wale wa ughaibuni naona itakuwa poa...

mockup-076d4b98_1024x1024.jpg
 
Dah yaani huyu sijui tuamfunga lini,ila unaweza shangaa leo tukapigwa kwani Morinho mtu wa kukamia,lakini akikutana na watoto anawekwa.
 
Back
Top Bottom