MLA PANYA SWANGA
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 5,186
- 5,450
Umbo dogo mambo makubwa.Toreirra alikosea kujifananisha na simba,ana sifa zote za nyegere kwa jinsi asivyokubali kushindwa na haogopu mtu.
Umbo dogo mambo makubwa.Toreirra alikosea kujifananisha na simba,ana sifa zote za nyegere kwa jinsi asivyokubali kushindwa na haogopu mtu.
Toreirra alikosea kujifananisha na simba,ana sifa zote za nyegere kwa jinsi asivyokubali kushindwa na haogopu mtu.
Umbo dogo mambo makubwa.
Sababu kubwa ya Özil kutocheza ni suala la Captain Armband (Kuhusika kusupport LGBT Community) Hata Xhaka hakuwa happy at all
Hapana mkuu, niliconcetrate na game tu sikuwa onlineHahahaa! Mkuu ulikua unasubiri game liishe ili unitafute eeh!!






KumbeHary kane, mshabiki wa arsenal ,nguliView attachment 953736

Hongereni kwa ushindi,so far so good.Hapana mkuu, niliconcetrate na game tu sikuwa online![]()
Asante mkuu, kwa sasa ni fresh kabisaHongereni kwa ushindi,so far so good.
Watapata tabu Sana...Kwa Aseno hiiii.....

Uliongea kitalaamu sana naona unai alipita hapa jf.Matumaini yapo game bado fire ila ss hatumtegemei refa katu. Kipindi cha pili kochafanye sub za maana hasa kwa mustafi huwa simuamini sana kisha hapa mbele amtoe iwobi aingie lacazette abu aende pembeni laccazate aje kati moto uendelee.
We ARE the GUNNERS forever.
L.Torreira first North London Derby:
100% Tackles Won
90% Pass Accuracy
12x Regained Possession
Scored Final Goal
Awarded MOTMNa wote walipigwa sub ndo game likaaamka.Tz ss sote ni makocha tusio na timu.Uliongea kitalaamu sana naona unai alipita hapa jf.
Tukikutana tena Auba piga hao ili wakurushie ndizi kabisaView attachment 954568
Mashabiki wa Spurs walifanya tukio la aibu na lililokosa uungwana kwa kumrushia PEA ganda la ndizi waliashiria ubaguzi wa rangi,FA imewafungia mashabiki hao kwa kitendo hicho.


Here are two to get you started...
Arsenal.com - Homepage Arsenal FC on TwitterView attachment 954657Wasubiri raundi ya pili tukawakanyage kwao palepale na viburi vyao. Wafanye ubaguzi waendelee kulia.Tukikutana tena Auba piga hao ili wakurushie ndizi kabisa
View attachment 954568
Mashabiki wa Spurs walifanya tukio la aibu na lililokosa uungwana kwa kumrushia PEA ganda la ndizi waliashiria ubaguzi wa rangi,FA imewafungia mashabiki hao kwa kitendo hicho.