Partnership ya Xhaka/Torreira ni nzuri sana...Ila sio mbaya Ramsey still yupo vizuri..
Xhaka amebadilika sana ameboreka akiwa na Torreira.
Ila Huyu Torreira Kaleta kitu kikubwa sana pale Kati...Ananikumbusha Gilberto Silva...
Xhaka amebadilika sana ameboreka akiwa na Torreira.
Ila Huyu Torreira Kaleta kitu kikubwa sana pale Kati...Ananikumbusha Gilberto Silva...
Xhaka hatakuwepo jumatano maana leo amepewa kadi ya tano ya njano.
Lakini tutacheza kama kawaida.
Naona hapo Ramsey anaziba kwa Xhaka.

