Daudi1
JF-Expert Member
- Dec 14, 2013
- 14,563
- 22,839
Ha
Hizi kauli zinanifurahishaga sana...
Hizi kauli zinanifurahishaga sana...
Nilikuwa nafikiri Arsenal academy ilishakufa lakini naona arsenal wameweza tena kutengeneza kimosi bora cha vijana kama kile cha akina wilshere, Walcott na bellerin
Ilikuwa ni mechi ya Arsenal msimu huu niliyoangalia mguu ukiwa juu ya meza huku napiga k.vant, ilikuwa ni 0% stressHalf time....Vorskla 0-3 Arsenal
Hhhhh....kweli mkuu pia hata ile dhidi ya Fulham second half nilicheki kama nipo peponi...Ilikuwa ni mechi ya Arsenal msimu huu niliyoangalia mguu ukiwa juu ya meza huku napiga k.vant, ilikuwa ni 0% stress
Hhhhh....kweli mkuu pia hata ile dhidi ya Fulham second half nilicheki kama nipo peponi...
hapo kwenye pepo! Ukiwa umezungukwa na "mizigo" ya kutosha (Sheikh Kipozeo)


Wale watoto walicheza vizr foward kwa kuwa nyuma yao walikuwepo wazee watatu wa kazi viungo bora gundozi, ramsey na elney huku nyuma wakakaa holding, Carl jenkinson, leinchester na maitlend nile.Nilikuwa nafikiri Arsenal academy ilishakufa lakini naona arsenal wameweza tena kutengeneza kimosi bora cha vijana kama kile cha akina wilshere, Walcott na bellerin
Ni kweli mkuu, hawa wazee walitusaidia sana... Naamini uzoefu wao utawasaidia hawa madogo na ndani ya misimu miwili ijayo hawa madogo watakuwa tegemeo emaratesWale watoto walicheza vizr foward kwa kuwa nyuma yao walikuwepo wazee watatu wa kazi viungo bora gundozi, ramsey na elney huku nyuma wakakaa holding, Carl jenkinson, leinchester na maitlend nile.
Walikuwa moto sana.
•Arrizabalaga
•Jorginho
*= £130.5m*
•Leno
•Torreira
•Sokratis
•Lichtsteiner
•Guendouzi
•Aubameyang
*= £128.5m*
A reminder that for what Chelsea paid for Kepa & Jorginho, Arsenal bought a better GK & MF, an experienced CB & RB, a future star & one of the most deadly finishers in Europe.
1 point ?That is why Chelsea is above Arsenal akwenye table
1 point ?
You're not serious Broh!Yah! Is enough to finish the league above Arsenal..
Mind GD pia.

Bado sana, hapo juu liver mwenyewe hana garantiee, subir baada ya x mass kama hutakuta liver yupo namba 5Yah! Is enough to finish the league above Arsenal..
Mind GD pia.
Ndo hilo lundo la wachezaji wamepigwa goli 16 hadi sasa, wako chini ya Chelshit na yawezekana kesho wakapotea top5•Arrizabalaga
•Jorginho
*= £130.5m*
•Leno
•Torreira
•Sokratis
•Lichtsteiner
•Guendouzi
•Aubameyang
*= £128.5m*
A reminder that for what Chelsea paid for Kepa & Jorginho, Arsenal bought a better GK & MF, an experienced CB & RB, a future star & one of the most deadly finishers in Europe.
SPURS* (London Derby)
Pochetino*
shot from you, you did to De Gea last season and you made me 
Arsenal kesho ushind kama pieNdo hilo lundo la wachezaji wamepigwa goli 16 hadi sasa, wako chini ya Chelshit na yawezekana kesho wakapotea top5