Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal Wamependekeza majina ya wachezeji wao 4 ndani ya timu. Majina hayo yametajwa jana kwa lengo la kuwapa Fursa mashabiki wa timu iyo. ili kumpigia kura mchezaji anaestahili kunyakuwa tuzo iyo. na mshindi atakae wazidi wenzake kwa kura uyo ndio atatangazwa rasmi km mchezaji bora wa timu kwa mwezi huu wa 11.
Lucas Torreira
Rob Holding
Alex Iwobi
Bernd Leno
Je? wew unampa mchezaji gani kura yako ambae anastahili kushinda tuzo iyo ya mchezaji bora wa Arsenal mwezi huu.


FOR ME NAMPA TOREIRA MASTER
 
Arsenal Wamependekeza majina ya wachezeji wao 4 ndani ya timu. Majina hayo yametajwa jana kwa lengo la kuwapa Fursa mashabiki wa timu iyo. ili kumpigia kura mchezaji anaestahili kunyakuwa tuzo iyo. na mshindi atakae wazidi wenzake kwa kura uyo ndio atatangazwa rasmi km mchezaji bora wa timu kwa mwezi huu wa 11.
Lucas Torreira
Rob Holding
Alex Iwobi
Bernd Leno
Je? wew unampa mchezaji gani kura yako ambae anastahili kushinda tuzo iyo ya mchezaji bora wa Arsenal mwezi huu.


FOR ME NAMPA TOREIRA MASTER
LENO
 
Torreira bila shaka yeyote.
Arsenal Wamependekeza majina ya wachezeji wao 4 ndani ya timu. Majina hayo yametajwa jana kwa lengo la kuwapa Fursa mashabiki wa timu iyo. ili kumpigia kura mchezaji anaestahili kunyakuwa tuzo iyo. na mshindi atakae wazidi wenzake kwa kura uyo ndio atatangazwa rasmi km mchezaji bora wa timu kwa mwezi huu wa 11.
Lucas Torreira
Rob Holding
Alex Iwobi
Bernd Leno
Je? wew unampa mchezaji gani kura yako ambae anastahili kushinda tuzo iyo ya mchezaji bora wa Arsenal mwezi huu.


FOR ME NAMPA TOREIRA MASTER
 
Kesho UNAI Sijui atacheza kwa mbinu ipi? Ya beki 4 Au 3..

I wish acheze na beki 3 kama game ya Bournemouth..
 
You are right kijana! Liverpool atakuwa Namba 5, Arsenal atakuwa Namba 2.

Na Msimamo utakuwa Hivi (25 December)

1) Man City
2) Arsenal
3) Chelsea
4) Spurs
5) Liverpool
Sijasema...lazima iwe hivo, ila tambua hata liver hana garantii na hiyo nafas,
 
You are right kijana! Liverpool atakuwa Namba 5, Arsenal atakuwa Namba 2.

Na Msimamo utakuwa Hivi (25 December)

1) Man City
2) Arsenal
3) Chelsea
4) Spurs
5) Liverpool
Timu inaweza kuwa pazur muda wote ikiwa haitakumbwa na mapungufu majeruhi yoyote kwa wachezaji.
 
Back
Top Bottom