Oxlade-Chamberlain
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 8,635
- 2,211
Mkuu mbona umekaa na machine gun kushambulia siafu?
tatizo lako mkuu unapenda ligi za jabu ajabu lol.
mie timu zangu zote za africa plus France (najua ngoma yao ngumu).waliobaki nitakuwa nashangilia raha ya kandanda safi na skills za wachezaji binafsi.