Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,720
Hebu iheshimu arsenal, hata liva walitamba sana, ila walipikuja emirates waliytafuta mpira kwa tochiTottenham kuna Harry Kane kuna Eriksen kuna Dele Alli, mpira dakika tisini maneno kama haya hayaChelsea wameyaongea sana mwisho wao wakapigwa kichapo heavy na hao hao mnaoongea kirahisi kuwa mnawafunga. Kuna mmoja hapo juu anasema na Man Utd nao watapigwa kirahisi tu haya mi nitakuja tu kufukua makaburi humu ila tu msikimbie thread yenu hii kama alivyofanya Mentor na Eden Kimario na wenzao kule
Unapisema wana eriksen ,mm nitakwambia arsenal wana ozil
Ukisema wana kane ,mm nitakwambia arsenal wana auba
Hebu elewa mpira ni tactic na approach ,
Usi conclude et anafungwa ,
Mpira. Sio siasa za CCM unajua anashinda hata kabla ya uchaguz na kampen
@LTorreira34's numbers yesterday... 
% passing accuracy 
km covered 

duels 
tackles 
