Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mkuu bournemouth sio watu wazuri kabisa espicially wakiwa kwao leo unabanduka next match unabanduka pia na spurs af next man utd anakusubiri Guest house mbona utazaa triplets tuu mwaka huu
Kazi ya Bournemouth imeisha, wale spurs wanakuja home hawawezi kutoka game itakuwa tough lakini tunashinda. Ukiwaogopa man unakuwa kichaa lilishabaki bango tu la mbwa mkali mbwa kafa zamani wamesahau kutoa bango. Man ilikuwa timu nzuri wakati ule siyo sasa.

Imagine shuti zile za xchaka na gonga za Emirates pale ni nani atatoka na miguu yote uwanjani kwa man. Lacazette hajacheza leo tunataka aje awaue toten.Man atawamaliza iwobi tu.

Timu za kujiandaa ni man city tu nao tukikutana huwa wanabebwa na refa kutafutiza penati waoga sana kwa arsenal. Uwezo tunao, nia tunayo, wachezaji bora tunao, kocha bora tunaye sasa wanaponaje man na toten.

Kupona toten ujue kapata sare jambo ambalo halikubaliki maana kocha amegoma.
 
Sikua na amani hii game,refa nae hakua sawa kabisa kwa upande wetu ule mpira wa adhabu wa mwisho nilifumba macho.
Hhh kufumba macho!! Mi natokaga nje halafu after attempt nasikilizia kelele ni za aina gani kama tumekoswa ama tumefungwa....hata ile attempt ya mwisho ya wolves nilifanya hivyo...
 
Emery on Torreira: "He said to us that he was a little tired... He was giving us good balance but also we have to be clever because he played with the national team for two matches and sometimes you need to listen to the players when they sometimes need rest." #AFC #Arsenal
 
People might not realize but Aubameyang already has 20 goals for the club in 30 odd games. He is a typical poacher, a player who has quietly contributed to a lot of wins and mostly plays for the team and not for himself.

A good character to have in the team.
 
Back
Top Bottom