Kazi ya Bournemouth imeisha, wale spurs wanakuja home hawawezi kutoka game itakuwa tough lakini tunashinda. Ukiwaogopa man unakuwa kichaa lilishabaki bango tu la mbwa mkali mbwa kafa zamani wamesahau kutoa bango. Man ilikuwa timu nzuri wakati ule siyo sasa.
Imagine shuti zile za xchaka na gonga za Emirates pale ni nani atatoka na miguu yote uwanjani kwa man. Lacazette hajacheza leo tunataka aje awaue toten.Man atawamaliza iwobi tu.
Timu za kujiandaa ni man city tu nao tukikutana huwa wanabebwa na refa kutafutiza penati waoga sana kwa arsenal. Uwezo tunao, nia tunayo, wachezaji bora tunao, kocha bora tunaye sasa wanaponaje man na toten.
Kupona toten ujue kapata sare jambo ambalo halikubaliki maana kocha amegoma.